Mie sipendi sana! Huwaga nalalaga room na binti bila kumuwazia ngono. Sijaona utamu wake zaidi ya kusumbuka na kutumia nguvu nyiiiingi, wakati raha anapata mwanamke ambae hana hata jitiada kama zangu. Puuumbavu kabisa
Mtu mzima napita zangu kwa adabu tele, kichwa chini na mikono nyuma! Vijana endeleeni kubadilishana mawazo make ndo muda wenu huu!!
Hahahaaaaa ati Lady doctor ni kweeliii? Staili ya kung'ata majani nakuchorachora chini? Ngono tam jamani acheni utani
mi mbona napenda kushikashika sio ngonoKila mtu anajua Wapare kwa chini hamjambo. Ila usitake kuhalalisha ufuska wenu kwa ku-generalize kwamba kila mtu anapenda K
Pata zambi kwa uongo wa maana hata hapa unapata zambi za buuuuuuuure kwa kusema uongo wa kawaiiiida!
Hupendi sana ila unapenda......Mie sipendi sana! Huwaga nalalaga room na binti bila kumuwazia ngono. Sijaona utamu wake zaidi ya kusumbuka na kutumia nguvu nyiiiingi, wakati raha anapata mwanamke ambae hana hata jitiada kama zangu. Puuumbavu kabisa
Jamani hata wewe unanikana? Usimsikilize huyo hanitakii nema
mshana jr iki waete kini aha, hahahahahahaha wekienda umanye iti kila kintu kinora mntu eho akome kana atonge he mganga. Kweli Mungu kuweka lile jambo alikuwa na maana yake. Ndo maana siku hizi bikra nimebaki mimi tu wengine wote majanga.
mihadarati mibaya sana. sasa hii nayo mada. mods ondoeni huu upuuzi pls
Duuuuu Yani mpaka nashindwa kuagiza kiroba nyingine, nacheka peke yangu mpaka walevi wanafikiri ishapenya