Ngono tam acheni maskhara

Ngono tam acheni maskhara

In da world there are few things ambazo whe ya do there is positive reward syatem of da brain. Some of ya may understand da meanin of reward syatem of da brain...dopamine release these things are FOOD,,,AND SEX NGONO
There we go ukigegeda unaongeza likely hood ya kutaka sawa na chakula kizuri hamu ya kukipata tena
God z geneous mazee when he created dat part of ya brain? Huhuhu
 
ngono tamu, ndo maana ulizaliwa. it was in the course of enjoying the sweetness of sex that you were conceived!
 
Sasa ndio umeanzisha mada gani hapa? Kama huna cha kuandika nyamaza kimya. Soma michango ya wenzako. Usishushe hadhi ya JF.
Nyie ndio wale gari limejaa konda awaambia mpande na nyie mnapanda,kama hadhi inashuka mbona umechangia,kuwa mpole ndio demand ya jukwaa...
 
Asiyependa atakuwa na matatizo tena ya akili, au alitumia vilevi tofauti akiwa mdogo. Na km wote tungekuwa hatupendi sijui leo tungekuwa tunachangia thread gani? Km hupendi ngono ila unafanya ngono iwe kwa makusudi au bahati mbaya, hapa mwenyewe na kibaridi nalishia liashia kikieleweka tu ghetto fasta.
 
Hapana mkuu lazima uwe muwazi hata shemeji/wifi yako analitambua.

Haya bana manake nafurahi hapa nilipo sijapata ona, namshangaa huyu Hamy Dada anakazana na mi sredi yake ya stress tu, sasa hizi ni muda wa kupata bariiiiiiiiiiid!
 
Asiyependa atakuwa na matatizo tena ya akili, au alitumia vilevi tofauti akiwa mdogo. Na km wote tungekuwa hatupendi sijui leo tungekuwa tunachangia thread gani? Km hupendi ngono ila unafanya ngono iwe kwa makusudi au bahati mbaya, hapa mwenyewe na kibaridi nalishia liashia kikieleweka tu ghetto fasta.

Jamani mtaniuwa kwa mbavu zangu hivi huwa mnawaza fasta namna hii!
Tuwang'owe basi wakoloni weusi hawa.
 
Nyie ndio wale gari limejaa konda awaambia mpande na nyie mnapanda,kama hadhi inashuka mbona umechangia,kuwa mpole ndio demand ya jukwaa...

Currentl there are 100 users browsing these thread
28 Membrs and 72 guest hahaaa watu kwenye Ngono siwawezi
 
Huyu atakuwa ndo anataka manake stahili zao za kukubali zinaanzaga ivi ivi!!

Hahahaaaaa ati Lady doctor ni kweeliii? Staili ya kung'ata majani nakuchorachora chini? Ngono tam jamani acheni utani
 
Mie sipendi sana! Huwaga nalalaga room na binti bila kumuwazia ngono. Sijaona utamu wake zaidi ya kusumbuka na kutumia nguvu nyiiiingi, wakati raha anapata mwanamke ambae hana hata jitiada kama zangu. Puuumbavu kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom