Ngono tam acheni maskhara

Ngono tam acheni maskhara

Hii mada haifai ktk maadili ya kiislam aliyeianzisha lazima atakuwa ni mlevi wa ngono
 
😛oa😛oa😛oa😛oa😛oa:llama::llama::llama::llama::llama:
 
Ngono ni tamu jamani acheni maskhara, Yani cpati picha saa hizi kwenye hizo gesti hausi kinachoendelea Yani kama kuna tv zingekuwa zinaonyesha kila kitu huko ndani au mapaa yangekuwa wazimu tungeshuhudia jinsi wanadamu walivyo Busy na hiyo kitu
wanandoa wanadiriki kudanganya ili tu wakazini nje ya ndoa,makazini watu wanaomba ruhusa za uongo ili tu wakazini
Yani Usiku kucha mchana kutwa kazi ni moja tu kungonoana, c mkubwa c mdogo c tajiri c maskini
Huyo asiyependa ngono na ajitokeze Hapa tumsikie

Wewe leo ndo mara yako ya kwanza kufanya ngono? Maana hata maelezo yako yanaonyesha wazi kuwa wewe ni mgeni kwenye haya mambo.
 
Wewe kijana inabidi uokoke..
Hayo mawazo nadhani ungekua unamwaza Muumba ungeongea mengine.
 
We unaochangia una miaka mingapi?



Niko matured, na ndiyo maana namshangaa mleta mada ana umri gani mpaka aje kushangaa watu wanatimiza wajibu wao. Kwani kuna cha kushangaa mtu kula raha za muda na yule amtamaniye, kama ni dhambi Mungu pekee ndiye anayehukumu. Labda pengine mwenzetu anataka ashauriwe anunue ngazi awe anatembea nayo mitaani ili akiona mtu na demu wake wanaingia ndani apande akawachungulie.
 
mshana jr avata yako inanifanya nijisikie vibaya kusoma hii post inatisha sana,
ila ngono raha acha utani hasa kwa yule umpendae na uwe na hisia nae
 
Last edited by a moderator:
kaka ungeacha huo mchezo c mzuri kabisa? Humuogopi hata Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom