CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
- Thread starter
- #21
Mkuu Majimoto
Labda hujakutana nao WAPO WAKULIMA WANAUZA NGOMBE WENYE MIMBA, Moja wao alikuwa jamaa wa ASSAS-Iringa alitoa matangazo mpaka kwenye magazeti. Pia hata watu binafsi wanazo kunajamaa ntawasiliana nae ili anipe contact then ntaziweka hapa
Ebwana ee, mambo si hayo!
Naomba nawe unipatie namba yako ya simu mkuu ili niwe nakusumbua kunitafutia contacts (if you don't mind).
Asante
Wabheja sana!
Thank you very much!
Merci!
Ulakoze chane!