Ngoja tughani mashairi kidogo

Ngoja tughani mashairi kidogo

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
532
VERSE 1.
Alikuwa binti mzuri,
Enzi akiishi na babake,
Alipendwa sana,
Coz alimpata kwa shida,
Alipendeza kwa mavazi kila siku ukimuona,
Alivaa black shoes,
Iliyolandana na ngozi yake,
Sketi ya blue akimaanisha kuna bahari,
Blauzi ya kijani,
Kumaanisha hana jangwa,
Kitenge cha kujitanda, Kikawa rangi ya manjano,
Kwa makusudi akimaanisha,
Ana shehena za madini.

VERSE 2.
Binti kaanza kuchoka,
Dingike aliposepa,
Alipoenda kwa brother ruksa,
Akaachwa azurure,
Ndipo msala ulipoanza,
Historia ikaongezeka,
Alipoenda brother nche,
Utandawazi ukamtesa,
Na sera ya ubinafsishaji,
Kucha kapewa mchina,
Eti zing'are ka dhahabu,
Kumbe ranga alizopakwa,
Zilimuozesha kucha,
hayo ni baadhi,
Safari yake haikuishia hapo,
Utamuonea huruma,
Alipohamia kwa kaka smile,
Kageuzwa danguro,
Hata kwa jero tu unalamba,
Mvuto wa mavazi yake,
Na umaana wa rangi zake asili ukapotea,
Akapendwa na wa ng'mbo,
Wanamposa kwa bei che.
 
VERSE 3.
Kumbe na maana zao,
Ndio sasa nimeelewa,
Eti rangi nyeusi, Maana yake ni upofu,
Kivipi utakwepa..
kubunywa usipoona,
Kuwa yupo mahututi,
Ndiyo ile rangi ya njano,
Blue ID ya umbumbumbu,
Eti masikini wakati maji anayo,
Napongezwa kwa ukijani,
Baada ya twiga wote kuibwa,
Binti anatia huruma,
Mabrother wake wamemponza,
Amekuwa ombaomba, Na harufu mbaya ya maisha,
Maana kila anayemchukua,
Anamfanya mradi wake,
Binti huyu ni yuleyule,
Ambaye Solo Thang kamuimba.
 
VERSE 3.
Kumbe na maana zao,
Ndio sasa nimeelewa,
Eti rangi nyeusi, Maana yake ni upofu,
Kivipi utakwepa..
kubunywa usipoona,
Kuwa yupo mahututi,
Ndiyo ile rangi ya njano,
Blue ID ya umbumbumbu,
Eti masikini wakati maji anayo,
Napongezwa kwa ukijani,
Baada ya twiga wote kuibwa,
Binti anatia huruma,
Mabrother wake wamemponza,
Amekuwa ombaomba, Na harufu mbaya ya maisha,
Maana kila anayemchukua,
Anamfanya mradi wake,
Binti huyu ni yuleyule,
Ambaye Solo Thang kamuimba.
turudishie pesa zetu
 
VERSE 3.
Kumbe na maana zao,
Ndio sasa nimeelewa,
Eti rangi nyeusi, Maana yake ni upofu,
Kivipi utakwepa..
kubunywa usipoona,
Kuwa yupo mahututi,
Ndiyo ile rangi ya njano,
Blue ID ya umbumbumbu,
Eti masikini wakati maji anayo,
Napongezwa kwa ukijani,
Baada ya twiga wote kuibwa,
Binti anatia huruma,
Mabrother wake wamemponza,
Amekuwa ombaomba, Na harufu mbaya ya maisha,
Maana kila anayemchukua,
Anamfanya mradi wake,
Binti huyu ni yuleyule,
Ambaye Solo Thang kamuimba.

Nakupenda ila haujatulia...vitendo vyako sitajivunia..
Sifa yako kubwa haujatulia...miss Tanzania..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom