Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,638
Nashukuru umenielewa kaka yangu😃mwanaume mwenye mentality ya kiafrika asiyetaka kubadilika kama ndugu yangu Mshana Jr .
Balaa lake si la kitoto.hiki kijembe nimekielewa sana..
![]()
Nashukuru umenielewa kaka yangu😃mwanaume mwenye mentality ya kiafrika asiyetaka kubadilika kama ndugu yangu Mshana Jr .
Balaa lake si la kitoto.hiki kijembe nimekielewa sana..
![]()
Tunaelekea pazuri😆
- Umeandika vyema kabisa!
- Kuna mmama mmoja CEO wa taasisi maarufu na muhimu Kwa nchi ameolewa kwa wanaume wawili, wote anawapa ratings kama wanaume wenye nyumba mbili wafanyavyo
Nashukuru sana Mungu nilicheza kama Pele kumuoa Ke aina ya Ulweso, sasa hivi nafurahia amani ya roho ktk ndoa kwa zaidi ya miaka mitano![]()




nimecheka kwa sauti.Hivyo ulivyovitaja ndio humpa jeuri mwanamke and vice versa sasa sijui unataka nani a kneel down Ili apelekeshwe..Dear ladies, black brother wenu nawakubali kinoma na nafurahi kuwaona vile mnastrugle kupambania ndoto zenu (hongereni kwa hilo)
Lakini, jitahidi kadri uwezavyo fedha zako, elimu yako na cheo ulichonacho/utakachopata visikutie Kiburi mbele ya mumeo uliyenae/utakaekuwa nae.
Kweli utajua mwenyewe😀Nisipokuelewa ndio basi tena![]()
Hakuna namna, lakini si anakuwa kamchagua mwenyewe?pambaneni na hali zenu![]()

Ha ha ha hapo unakuwa mziki mnenemwanaume mwenye mentality ya kiafrika asiyetaka kubadilika kama ndugu yangu Mshana Jr .
Balaa lake si la kitoto.hiki kijembe nimekielewa sana..
![]()
ufahamu na maarifa ni shida sana makuzi wengine tuna zero mara umeishi na watu wanyama tu, wa ajabu experience muhimu sana kupata hata hayo maarifaNitafanya hivyo
Maana ilikuwepo.Hapa mkuu jiongeze tuu.. Unadhani walikuwa poyoyo? Walikuwa na maono wale![]()
Ila na wao wamekubaliana naye, acha wale maisha.
- Umeandika vyema kabisa!
- Kuna mmama mmoja CEO wa taasisi maarufu na muhimu Kwa nchi ameolewa kwa wanaume wawili, wote anawapa ratings kama wanaume wenye nyumba mbili wafanyavyo


Kila la kheri.Ila mimi sikutaka complications..ndio maana kwangu kuko pouuuwaaa
Acha tu, ila kuna kipindi mkoa mmoja Mama alikuwa na waume 2 na wote anaishi nao kwake, walijikuta wapo pale kwa pamoja akawambia watulie waishi wote, mpaka mke alipofariki.Tunaelekea pazuri![]()
Wajukuu hata Beberu anao, kwani Ke wasio kwenye ndoa hawana wajukuu?Mimi nina wajukuu wewe
