Ngoja niropoke

Ngoja niropoke

Dear ladies, black brother wenu nawakubali kinoma na nafurahi kuwaona vile mnastrugle kupambania ndoto zenu (hongereni kwa hilo)

Lakini, jitahidi kadri uwezavyo fedha zako, elimu yako na cheo ulichonacho/utakachopata visikutie Kiburi mbele ya mumeo uliyenae/utakaekuwa nae.
Hivyo ulivyovitaja ndio humpa jeuri mwanamke and vice versa sasa sijui unataka nani a kneel down Ili apelekeshwe..
 
  • Umeandika vyema kabisa!
  • Kuna mmama mmoja CEO wa taasisi maarufu na muhimu Kwa nchi ameolewa kwa wanaume wawili, wote anawapa ratings kama wanaume wenye nyumba mbili wafanyavyo
Ila na wao wamekubaliana naye, acha wale maisha.
 
Back
Top Bottom