Ngoja niropoke

Kaka mkubwa mliambiwa ishini nao kwa akili, tatizo wenye elimu ya kawaida wanaume huwa wanawadharau wanataka wale wanao ongea nao kidhungu sasa pambaneni na hali zenu
 

Tutaruka nao hivyohivyo watakavyo wewe waache.

Kwanza hiyo inatupunguzia Msalaba na inafurahisishia kuwatumia Kwa wengi Kwa wakati mmoja.

Kwa sasa mambo yamerahisishwa Sana.
 
Tatizo lenyewe kabisa


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Na wenyewe watalipuuza kuendekeza ubabe wao. Na wamesahau kwamba huyu mke anayelalamikiwa leo ndio huyu anayewalea watoto wao wa kike.

Imagine huyu mtoto wa kike mwenye miaka 6 sasa hivi abahatike kusoma kufikia degree ya pili miaka 20 ijayo.
Aje kuolewa na mwanaume mwenye mentality ya kiafrika asiyetaka kubadilika kama ndugu yangu Mshana Jr .
Balaa lake si la kitoto.
 
Inawezekana sana tu, nina Rafiki zangu zaidi ya 6 waliwaachisha Ke zao kazi wanaishi vizuri tu na hadi sasa wameshawini sana kiuchumi wakiwa na Watoto wao.

NB:

MAISHA HAYANA KANUNI ILA YANAHITAJI NIDHAMU SANA.
 
Duh! Me nataka wao ndo walalamike ndo nitaamini inawa-affect nje na hapo ni kiherehere chetu kuoa.
 
kwenye hili bandiko...kila mtu abebe mzigo wake tu...hakuna cha msomi wala asiye soma...tena bora mwanamke aliyepiga kitabu...yaani kwanza hamna hata aliye bora....kila mtu afe na mzoga wake...nimemaliza.
 
Mshana Jr naomba uanze kuukubali ukweli hata siku moja kichwa hakipaswi kuhama sehemu yake ya kuwa juu na kishuke chini kiwe sehemu ya shingo au hata kuwa miguu, Sasa basi ukizaliwa mwanaume tayari wewe ni mtawala upo juu na uwe kwa vitendo juu na usitengeneze mazingira ya kuwa miguu yaani ubebwe na ni mpango wa Mungu uwe kichwa, sasa jamii imebadilisha kichwa kimechoka kuu juu kinataka msaada angalau kiwe sawa sawa na kiwiliwili au miguuni kabisa Sasa basi kwa vile umegeuka kiwiliwili basi inabidi kuwa mpole Ili gurudumu liende, hata zamani ilipotokea hivyo kichwa kilikuwa kipole maisha yakaendelea mfano yule kijana aliyekuwa na uchumi mbaya na mke anahitaji na muda umefika wa kuoa alikubali kutumika kwa baba mkwe bila hiyana maisha yakaenda.

Viumbe wa kike wao wamepewa jukumu lao la kuleta viumbe huku wakihudumiwa na baba watoto na ikitokea wameweza na majukumu mengine ya kichwa basi hiyo ni hatari maana walionekana wao siyo kuoa na kutunza na mume Bali watataka watoto tu na ubini wa baba kwa watoto wao na kulea watalea wao, hivyo kwa vile mataifa mengine yashajifunza kwenye hili na kujiandaa haya Mambo hayawapi shida tena ni mwendo wa kubadilika tu, swala la mapenzi au ndoa liwe la kuelewana tu ikitokea hamuelewani Kila mtu achukue njia yake ila swala la malezi liwekewe Sheria ya malezi, kingine wake kwa waume wajulishwe mapenzi au ndoa siyo sehemu ya kujipatia uchumi kama uchumi Kila mtu atengeneze wake na aonyeshe jinsi anajithaminisha, kingine mtu asiingie kwenye mapenzi au ndoa kama kilema au mgonjwa hayo yafanyike wakati kama love moment na siyo kama Sheria yaani mazingira yajengwe ya watu kujihudumia kwenye mambo ya maisha kama kupika, kufua, kuosha vyombo yawe mambo ambayo mtu anayejiita mtu mzima ajue kujifanyia na mapenzi yawe mapenzi tu huku mambo ya maisha kwa Kila mmoja yakiendelea, Sasa hao wasomi watatunza ndoa maana hazitawachosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…