Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

Ngoja anipigie simu ananiona ----...!

haaaaaaa na wewe umezid promise less ...
pole sana elewa bint matunzo kwa maana hii pepo la pesa lina nguvu zaid
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

wanaume mabwege hawaishi!wakiingia anga zako we kamua tu
 
na nyie mnayatafutaga acha yawakute, unamuhudumia mtu ambae wala si mkeo wala ndunguyo kisa nini? umekuwa mzazi wake au kaka yake?


Mrs Leo niekupenda bure, wewe ni mdada lkn umeongea ukweli ambao hakuna mdada anayeweza kuusema. Vijana wa kiume tunahitaji kurudi ktk sense zetu.
 
na nyie mnayatafutaga acha yawakute, unamuhudumia mtu ambae wala si mkeo wala ndunguyo kisa nini? umekuwa mzazi wake au kaka yake?


Dada yangu,Shukuru umezaliwa mwanamke!
Mbunye ni kitu kingine kabisa kisicho mfanowe,acha tu watu waendelee kuwahudumia watu baki!

Ni kakiungo katamu balaaa!!
Pole kama hukuwahi hudumiwa na mtu asiye mumeo wala nduguyo.

 

Dada yangu,Shukuru umezaliwa mwanamke!
Mbunye ni kitu kingine kabisa kisicho mfanowe,acha tu watu waendelee kuwahudumia watu baki!

Ni kakiungo katamu balaaa!!
Pole kama hukuwahi hudumiwa na mtu asiye mumeo wala nduguyo.


Hahah!!!
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

hujaacha tu!!!
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Mimi ukiniweka blacklist natumia namba nyingine kukupigia simu. Pia kwani ukienda kutibiwa ndio mawasiliano yanakatika au sijakuelewa vizuri hapo lara?
 
una bahati ulitaka kupigwa changa la macho dili imebuma...
 
lara1 hujui kuwa akitaka jua kama umesafiri atajua tu kwa kukuomba passport?
Watu hata kudanganya hamjui
 
Last edited by a moderator:
sasa kwa nini mpaka leo ujanitumia nilirudi jmosi bwana ... mbona hivyo tena sikutaki tena mwanaume unaombwa hela mda wote hutumi ndo nini.... alafu nataka laki mbili naomba nitumie
 
Mkuu naona unamindi mambo madogomadogo,please nipe namba yake ili nikusaidie kazi
 
Bila technic hela mnayoa nyie? Mwenyewe kuna mtu nimemwambia anipe hela mwezi wa 5 naenda nje kutibiwa, kanipa hela ya passport, visa, bado matumizi, mwezi wa 5 namuweka black list atajua nipo nje, siku zikitimia namtoa afu ndo inakuwa nimerudi, MJINI MIPANGO!

Hahahahah.... Lara one.; mama wa Mipango.
 
jamani usifanye usanii na ugonjwa utaugua kweli na utapelekwa nje......., tafuta usanii siyo kwenye magonjwa
Hahahaaaaa! Naumwa kweli na referal ninayo sema tu msjiko ndo sina najitibia hapa hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom