Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Wakubwa shikamooni,
naomba msaada wenu wa namna ya ku-register NGO ambayo nimeianzisha. Naomba kujua ofsi gani inahusika kwenda kuiandikisha serikalini, documents zinazohitajika, n.k.
ni matumaini yangu nitaweza kusaidiwa katika hili wKuuu.
wasalaaam,
Pasco jr.
naomba msaada wenu wa namna ya ku-register NGO ambayo nimeianzisha. Naomba kujua ofsi gani inahusika kwenda kuiandikisha serikalini, documents zinazohitajika, n.k.
ni matumaini yangu nitaweza kusaidiwa katika hili wKuuu.
wasalaaam,
Pasco jr.