NGO REGISTRATION: I need your help!!!!!!@#$

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Wakubwa shikamooni,
naomba msaada wenu wa namna ya ku-register NGO ambayo nimeianzisha. Naomba kujua ofsi gani inahusika kwenda kuiandikisha serikalini, documents zinazohitajika, n.k.

ni matumaini yangu nitaweza kusaidiwa katika hili wKuuu.

wasalaaam,
Pasco jr.
 
Kama ni ya nchi nzima nenda qwizara ya mambo ya ndani. Na kama ni CBO yaani iko wilayani kwako tu nenda kwa afisa maendeleo ya jamii wa wilaya ukitaka ushauri zaidi nipigie simu 0755394701 au nipm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom