Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
for sure napend kucheka sana, naikiri mwaka huu wote utakwa wa vicheko kwangu
hahahaa!! haya bana njoo pm fasta nikuambie mtonyo flani!
for sure napend kucheka sana, naikiri mwaka huu wote utakwa wa vicheko kwangu
hahahaa!! haya bana njoo pm fasta nikuambie mtonyo flani!
up huo nipelekee huo mtonyo kulenaenda subiria kabsa uwe wa kuchekesha tuu
usijali.. endelea kucheka mama!
Niko na mke wa Mchagga muda huu, wanatishia kuvunja mlango nisipofungua
Moment of silence please! for a dead Bujibuji
Mkuu jigeuze condom aisee... Pole sana..
Niko na mke wa Mchagga muda huu, wanatishia kuvunja mlango nisipofungua
Duh, tayari wameshamwaga ubongoKwanza umekosea timing. Wachaga wanapenda wake zao december tuuu. Ungegegeda kuanzia january hana time.Ukisalandia muke ya muchaga inabidi uwe na mabomu ya kurusha kwa mkono. Akishika pastola unampa kitu kubwa shaaa.
Rip Bujibuji, tulikupenda lakini ngono ikakupenda zaidi