Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,632
- 28,629
anamkagua kama amenyoa...!
Tangu lini akawa mkaguzi!! Naham aufosariwe
anamkagua kama amenyoa...!
Niko na mke wa Mchagga muda huu, wanatishia kuvunja mlango nisipofungua
Issue hii ilinitokea .....akili ya kuzaliwa ilifanya kazi.
"Mimi nilivaa nguo za mwanamke na yeye zangu"
Ulipovunjwa mlango, mim ndukiii
bonge la idea
Mkuu jigeuze condom aisee... Pole sana..
Yani tena ningeanza na wewe
Safi sanausijali.. endelea kucheka mama!
Safi sana
Niko na mke wa Mchagga muda huu, wanatishia kuvunja mlango nisipofungua
bora uanze na huyoo shogaako Honey Faith.. kapotelea wapi sijui siku hii... kazimnayo msio na waume! teh! teh!