Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Mh. Ngeleja, ulituambia mgao utakuwa historia lkn haikuwa hivyo. Pole, tunajua IPTL wanavyotafuna njururu zetu sasa chondechonde waambie jamaa zako wa Tanesco kwanza waache uongo na pili watoe ratiba ya mgao. usihofu si tumeshazoea.