kule sengerema ngereja hapendwi kabisa narudia hapendwi kabisa..na mwaka 2015 wala asijaribu kugombea hata yeye analijua hilo tena vizuri kabisa..
siku ile wakati Lema na Slaa wako hapo sengerema huyuhuyu ngereja alimwambia mkurugenzi wa wilaya aitishe kikao na madiwani wote lengo lilikuwa ni kwamba wale madiwani wa ccm wasiende kwenye mkutano na chadema....hata walipofika kule kwenye kikao walikoitwa hakukuwa na kikao wala nin badala yake walifungiwa ndani ya ofisi hadi mda wa mkutano wa chadema ulipoisha..
hayo mapokezi atakayofanyiwa hiyo kesho ni njama za magamba ili aoniekane bado anaweza na anapendwa...hapendwi kabisa kuanzia kijijini kwako bitoto, kalangalala, igulumuki,buyagu, nyancheche,nyanzeda,busulwangiri,busisi,nyampande kote huko watu wamevaa magwanda na wanaifagilia chadema sana....