THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Nafananisha hili na Mtu kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe!Cost za show born from Ngeleja himself!
hahaaaaaaaa...!
Heshima yako mkuuuuuu....!!
Nafananisha hili na Mtu kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe!Cost za show born from Ngeleja himself!
Nafananisha hili na Mtu kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe!Cost za show born from Ngeleja himself!
Ile laana ya yule mlizi itamtafuna hadi mwisho,sidhani kama anaweza fikiria adha ya familia ya mlizi yule baada ya kufukuzwa kazi,sitashangaa akiishia gerezani,mbya sana kuwaonea wanyonge kwa kuwa tu wewe una nafasi fulani
Vipi, jimbo la sengerema limeendelea kiwango gani. Kwa vile kazi ya uwaziri imemshinda, ninadhani kuwa huenda kazi ya ubunge aliifanya vizuri. Niliwahi kusikia jamaa huyu akizuia ndege isiondoke Airport Mwanza kumsubiri hadi atoke Sengerema. Mheshimiwa Ngeleja alikuwa na matatizo fulani ya kutaka kuabudiwa kwani kila mara alikuwa anataka watu wamtambue yeye ni nani halafu wafanye anavyotaka yeye; alimfukizisha kazi mlizni wa benki kwa jambo dogo sana, na aliwahi kutishia mapailoti wa ndege za kibongo wasifanye kosa la kumwacha Mwanza awapo safarini hata akichelewaje.
Maneno yako na avatar yako vinafananaAcha majungu mkuu!
Acha majungu mkuu!
Vipi, jimbo la sengerema limeendelea kiwango gani. Kwa vile kazi ya uwaziri imemshinda, ninadhani kuwa huenda kazi ya ubunge aliifanya vizuri. Niliwahi kusikia jamaa huyu akizuia ndege isiondoke Airport Mwanza kumsubiri hadi atoke Sengerema. Mheshimiwa Ngeleja alikuwa na matatizo fulani ya kutaka kuabudiwa kwani kila mara alikuwa anataka watu wamtambue yeye ni nani halafu wafanye anavyotaka yeye; alimfukizisha kazi mlizni wa benki kwa jambo dogo sana, na aliwahi kutishia mapailoti wa ndege za kibongo wasifanye kosa la kumwacha Mwanza awapo safarini hata akichelewaje.
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.
Ila akumbuke kumuomba radhi yule askari mlinzi aliyemfukuzisha kazi pale Harbour View!