Ney wa Mitego atoa kauli ya kumfananisha mkewe aliyemzalia watoto watatu na bahasha

Hivi mama yake nae angeambiwa hvyo na baba yake ingejisikiaje?
hata kama mtu haumpendi muda mwingine tujali hisia za wenzetu.
 
Demu wa kawaida sema pesa ipoo

Mala anaukimwi mala sijui nini....we dokta ulompima?...mbona mie namuona mtamu aisee kwako wa kawaida huyu?!!!!
 

Attachments

  • 1426654561503.jpg
    47.2 KB · Views: 493
  • 1426654593560.jpg
    53 KB · Views: 457
  • 1426654625159.jpg
    60.1 KB · Views: 446
  • 1426654648192.jpg
    49.8 KB · Views: 441
  • 1426654673367.jpg
    56.6 KB · Views: 414
  • 1426654690908.jpg
    49 KB · Views: 418
Tangu Huyu Jamaa Alipoimba Kuwa Ni Rafiki Wa Lucifer,tena Huwezi Kwenda Mbinguni Bila Yeye,niligundua Ni 'Insane' Kabisa.

Yaani hayo ni maneno ya kuonesha jinsi gani elimu na uelewa ni muhimu sana kwa wasanii...ujinga ujinga tu.
 
Me nafikiri kabla hamjafikia hitimisho mngemuuliza kwanza hao wanawake ni wa aina gani?
 
Ukiokota okota tuu Mbona kila siku maneno hayatakuisha?
Wewe watoto 3 kila 1 Ana mama yake hiyo akili sasa.
 
Capt Nemo

Angekuwa na akili iliyotulia asingezaa na changudoa tena watoto watatu! Kama alivyoamua kumzalisha watoto wote hao, alipaswa kumrekebisha matendo yake ama asingezaa nae.

Kwanza changudoa huwezi jua kama ni changudoa mpaka ujue (naamini utaelewa kauli hiyo)

Pili kama unadhani unaweza kumrekebisha changudo au mwanamke yeyote in general you have another think coming!!!
 

kwa sisi wadau wa muziki hatuumizag kichwa kwa kauli kama hiz bali hua tunakumbuka mbali sana kipindi alichoahid kutoa picha lake la x mda mfupi mbele akatoa nyimbo yake mpya.its like dimpoz tu kabla ya kutoa wanjera.
 
Jaman hii ni kick ya nyimbo mpyaa maana bongo fleva wa siku hizi kabla ya kutoa nyimbo mpya wanatafuta kick kwa mapicha na mavideo ya ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…