Capt nemo we ndio ney! !
but jamaa hutumia kinga na hua hazai na demu bila kupima kweli kondom zinasaidiaAna demu wake maeneo ya gedeli mwanza anafanya kazi ktk shirika la ndege fulani bahati mbaya huyo dada ni mwathirika
Amechapiwa mademu zake wote kwa hiyo ni hasira tu
Staa yeyote anayetafuta kupata watoto wa damu bila kuoa ujue ana tatizo kiakili, kwa sababu anakuwa ni mbinafsi wa kutaka kuhesabu watoto bila kuangalia hadhi ya watoto hao watakozaliwa nje ye ndoa. Vile vile mwanamke anayezaa na staa huyo nje ya ndoa naye huwa ana upungufu fulani kiakili, kwa hiyo iwapo Nay kamfumania mzazi mwenzie basi ajue kuwa huyo ndiyo aina ya wanawake walio tayari kuzaa nje ya ndoa.
Jina lenyewe wa mitego sa sijui huwa anawatega akina nani hao kama hawataki wakinamama atawatega akinababa sasa watamnasa tuu
Kwahiyo unataka aoe wake watatu?after all hao baby mamaz wake ni viguu na njia hivyo kaona bora alee mwenyewe wanae kuliko watoto kutwa kuletewa akina uncle.