Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,553
Ana demu wake maeneo ya gedeli mwanza anafanya kazi ktk shirika la ndege fulani bahati mbaya huyo dada ni mwathirika
Kwa hiyo ney ni Mwalukanga?
Ana demu wake maeneo ya gedeli mwanza anafanya kazi ktk shirika la ndege fulani bahati mbaya huyo dada ni mwathirika
Kwa hiyo ney ni Mwalukanga?
Ana demu wake maeneo ya gedeli mwanza anafanya kazi ktk shirika la ndege fulani bahati mbaya huyo dada ni mwathirika
Kama wewe sio mwandishi wa habari nakushauri uingie huko...you are an expert katika kuwawekea maneno watu midomoni
And it is alright kumlaumu Ney lakini unajua what went on behind the scene?
Hao wanawake utulivu zero na Ney aliona kuliko watoto wakae katika mazingira kama hayo ya kushuhudia ma-uncle wasio na idadi, kumuona mama kalewa daily, na akina mama hao kushindwa kuwalea watoto katika maadili mema akaona for the sake of kids bora awachukue,give the man credit for that
Remember not all mothers are good mothers deserving to live with kids.Kama huamini washauri wafungue suit ya kupata custody ya watoto uone ushahidi utakaotolewa na Ney kuonyesha akina mama hao hawafai kulea.
Mtoto anahitaji maleze...ya responsible parents...not just parents
labda alikuwa anatumia ulinzi wa maisha.
Mwacheni nay the true boy afunguke aliyoya experience toka kwa mademu, na mimi naungana na nay mademu me nawagonga but mtoto ndo nakuwa na mapenzi nae.
Anyway, kama kila mtoto ana mama yake basi huyu jamaa ni mhuni mwache alee!
Mmoja wa mama watoto wake ni rafiki yangu......, mbona anajutraaa sasa
Me nafikiri kabla hamjafikia hitimisho mngemuuliza kwanza hao wanawake ni wa aina gani?
Is Ney a good father?
United For The Failures.
United For The Failures.
united for the ------
Ana demu wake maeneo ya gedeli mwanza anafanya kazi ktk shirika la ndege fulani bahati mbaya huyo dada ni mwathirika
united for the push-overs
Goes back to the Sender.
Ten times.
wrong again..push-overs are destined to be so not ten times..but for eternity