Kumbe I was right, Kawambwa ni anko! Ahsante Domo Kaya wewe ninakuamnia sana, vipi kulikoni siku hizi huopnekani mkuu?
Field Marshall ES;
Mwamini jamaa kadiri unavyoweza lakini those gentlemen are not genetically related!
Anko Kikwete na mimi naomba wizara jamani, mbona Anko Shukuru Kawabwa kwa muda wa miaka miwili na nusu tu ameshazunguka wizara 4???? Je kwani unampango wa kumpa uwaziri mkuu??????? maana hizo mbio si bure lazima unampango nae mkubwa zaid.
Hawa wasomi wetu wapo katika sinia moja na sisi ktk vumbi la kisomo cha arobaini..Elimu waliyopata ni elimu ya kuiga hwengi wao wanashindwa kuitumia ktk sinia hili zaidi ya kujumuika nasi na kuzivua hizo Phd zao..
sana sana watakuja tuibia tu kisha heshima tulizokuwa tukiwapa zitaondoka...
Nilipoona MSOLLA nikakukumbuka, sasa nadhani kuna umuhimu wa kuandaa DOSSIER KAMILI la kumuondoa
kuna namna mbili
ya kwanza ni kufanya PETITION online kisha tutalisambaza kwa kila Mtanzania mwenye e-mail
ya pili ni KUTAFUTA CD ziote zinanzomhusu kisha tutazilepleka kule WIKI LEAK,EU na kwingineko kisha tuangalie upepo unaendaje
ikishndikana tunaingia kule kwenye mambo yake Private...ndio huyu ni public figure hivyo hawezi kuwa immune na lazima atakuwa na skeletons in his closet
Dua,
Ahsante rafiki yangu. NIlikuwa Bongo kwa shughuli za kibinafsi. Unajua tena internet za Bongo unalipa shilingi alfu moja mia saba kwa saa moja. Haikunipa muda mzuri wa kuchangia. Lakini nilipata fursa ya kukutana na wana JF kibao.
Mwamini jamaa kadiri unavyoweza lakini those gentlemen are not genetically related!