NEW SONG; Utaniua by Jux

NEW SONG; Utaniua by Jux

Mziki ni akili mbona darasa na ney wakitoa wanahit pia,.....jux mi simkubaligi pia
 
Katika nyimbo zinazotrend sa hv...huu wimbo wa jux ni mkali kuliko zote...bonge la pini...huyu jamaa huwa simkubali ila kwa hii kanifungua macho...tatizo video huwa anabug
Hata mimi uwa simkubari ila hii track kali inafunika zote zilizotoka kipindi hiki
 
nyimbo kali sana!!ni msanii pekee mwenye wa muonekano wa kisanii bongo hii ...and then yuko mbele ya muda akishafanya kitu flan kuhusu muonekano wake na wengine wanafuata...!mnyamwezi toleo la kwanza uyu...
 
nyimbo kali sana!!ni msanii pekee mwenye wa muonekano wa kisanii bongo hii ...and then yuko mbele ya muda akishafanya kitu flan kuhusu muonekano wake na wengine wanafuata...!mnyamwezi toleo la kwanza uyu...
Duhh....mkuu una mahaba ya Dhati...
 
Jux akitoa nyimbo Am records lazima iwe hit song... Refer nitasubiri mara uzuri wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom