cv yako tafadhaliSasa kama unakazi za kufanya si ukafanye? Sio lazima mpaka ujue kilakitu...
Wewe kausha tu
Aah, ni kama ulimbukeni tu,Hivi kama hukubaliani na mtu ni lazima ushinde ukeshe unamponda? Mbona hao clouds hawajapoteza Muda kukaa kumsema huyu dada? Atapita kimya kama wengine na atapotea kimya, clouds naona wanazidi kupaa tu Kila siku
Balua ndio nini?cv yako tafadhali
bila shaka wewe hata kuandika balua hujui ikiwa umeshindwa kueleza tukio ulilo lilete hapa jukwaani
Yaani unamaanisha hajulikani?Nimeisikiliza kiukweli nyimbo ni yakawaida sana huyu binti ilitakiwa ajinyenyekeze kwanza kama wenzake wakina maua sama baadaye akiwa amesha fahamika na kuwa na mashabiki wengi ndio achukue uamuzi mzito Kama aliouchukuwa!
Inasemekana anaweka nyodo nyingi tena mpaka kwa wasanii wenzake tena hadi kwa ambao wamemzidi...
ukiwa una leta thread hakikisha imekamilika
usifikili wote hatuna kazi tuanza kufuatilia sijui bdozen sijui rubii hebu kua kama msomi
usitake nitilie shaka elimu yako
Maisha bhana.....................NADHAN WENGI WANASUBIRIA KUONA HUYO MTOTO ANAANGUKA NDO WASEME VIZUR.Inasemekana anaweka nyodo nyingi tena mpaka kwa wasanii wenzake tena hadi kwa ambao wamemzidi...
Kuna wakati mtu anatafuta Kiki Ndio anapotea jumla
Kuna wakati mtu anatafuta Kiki Ndio anapotea jumla
Hujawahi kujiuliza kwanini Magufuli alisema atachukua wataalamu wa IT kutoka Rwanda 7bu wabongo ni wavivu sana hata kujiogeza kidogo tu mshkaji kashindwaKama haujui kipi kinachoendelea basi ujue haya mambo hayakuhusu mwana,
Alafu kama unashindwa kujiongeza kwenda kuidownload basi endelea kusubiri utaletewa hapahapa JF
Hujawahi kujiuliza kwanini Magufuli alisema atachukua wataalamu wa IT kutoka Rwanda 7bu wabongo ni wavivu sana hata kujiogeza kidogo tu mshkaji kashindwaKama haujui kipi kinachoendelea basi ujue haya mambo hayakuhusu mwana,
Alafu kama unashindwa kujiongeza kwenda kuidownload basi endelea kusubiri utaletewa hapahapa JF