Wakuu nimesikiliza tena huu wimbo mpya wa KCE feat Diamond, ni wazi kabisa huenda Dai hakujiandaa au alivamia tu collabo la watu.
Ukisikiliza kwa umakini utaona kuwa, Sauti ya Dai imebanwa na haisikiki vizuri kabisa, sijui huu ndio ubanajai pua mpya au ndio unaijeria umezidi kwa huyu mzalendo wetu?
My take: Kwa hali hii watanzania tuna haki ya kumpa kura Davido.
Wakuu nimesikiliza tena huu wimbo mpya wa KCE feat Diamond, ni wazi kabisa huenda Dai hakujiandaa au alivamia tu collabo la watu.
Ukisikiliza kwa umakini utaona kuwa, Sauti ya Dai imebanwa na haisikiki vizuri kabisa, sijui huu ndio ubanajai pua mpya au ndio unaijeria umezidi kwa huyu mzalendo wetu?
My take: Kwa hali hii watanzania tuna haki ya kumpa kura Davido.
Mbona wimbo upo poa tuu jmn..
Wakuu nimesikiliza tena huu wimbo mpya wa KCE feat Diamond, ni wazi kabisa huenda Dai hakujiandaa au alivamia tu collabo la watu.
Ukisikiliza kwa umakini utaona kuwa, Sauti ya Dai imebanwa na haisikiki vizuri kabisa, sijui huu ndio ubanajai pua mpya au ndio unaijeria umezidi kwa huyu mzalendo wetu?
My take: Kwa hali hii watanzania tuna haki ya kumpa kura Davido.
Na tako pia mpe
Tena unasikika vizuri sanaaaa!!!labda kama unanyege za masikio ndio hutasikia diamond alichokiimba kwenye hiyo nyimbo
Aaahh we mbebezz nimekuzimikia ghafla teh teh
Tena unasikika vizuri sanaaaa!!!labda kama unanyege za masikio ndio hutasikia diamond alichokiimba kwenye hiyo nyimbo
salama jabiri twetter huko ameshawachamba team local!joh makini nay yeye amevunja ukimya ameungana na diamond,lulu na idrissa ndio kabisaaaa!lazima kizuri kijulikane mwaka huu!!
Watu wanaojielewa hawawezi support mambo ya ajabu ajabu.. Muda ndio utakaoongea
Haki ya nani Diamond kaisha wakuu, sijui ndio kupanic au kitu gani? Yani kafunikwa mbaya, hakika huyu siyo dai wa number 1.
yaani ukiona nimeadimika humu ndani jua napiga kura
Hata Mimi hivyohivyo.
yaani ukiona nimeadimika humu ndani jua napiga kura
Ulitaka amfunike mwenye wimbo. ..
Mimi hayo mambo ya kura sipigagi ila ashinde au asishinde bado Diamond ni mwanamziki mzuri na anatuwakilisha vyema.. Ila nawaaminia pigeni kura kwa nguvu zote muwaumize roho traitors