Katika nchi hii, hakuna kabisaaa asiyenufaika na siasa kwa hawa wanasiasa wote waliopo, tatizo lao wengi wameeendekeza/ wanaendekeza anasa wengi wameanza siasa siku nyingi lkn ni wavivu, wahuni na watapanya fedha si wabunifu. matokeo yake sasa wamebakia na WIVU NA MAJUNGU kwa wale ambao, walianza pamoja nao au wamewakuta ktk siasa lkn hivi sasa ni matajiri wa kutupwa kama EL , siasa inaweza kukufanya mkulima mkubwa , mfanyabiashara mkubwa ,mfugaji mkubwa na mmiliki wa majengo mkubwa halikadharika mwanasiasa tishio ndio alivyo hivi sasa EL, hakuna siri nyingine iliyomfikisha hapo zaidi ya kujituma kwa wananchi na kwake yy binafsi kwa familia yake. ndo maana yale mambo yoooote aliyoyasimamia kitaifa ikiwemo miradi mikubwa kama huo wa maji kwa niaba ya wananchi ulifanikiwa saaaaana yeyote anaweza kupinga kwamba LOWASSA hakusimamia mradi ule jibu sahihi lipo kwa mh MKAPA , wakati wa uzinduzi wa daraja lile MZEE MKAPA alipotua tu katika mji ule akiwa kwenye helikopta ailiyompeleka swali lake la kwanza aliuliza LOWASSA yuko wapi? na kuibua mayowe ya furaha kwa wananchi wa eneo lile. aliwatimua wawekezaji wa CITY WATER ,wakaenda mahakamani serikali ikashinda si mawazo yake lkn ni kile kitendo chake cha kutumia vzr wasaidizi wake kwa ushauri na maamuzi bora anayoyatoa, ndo maana unaposema eti asipewe sifa ziende kwa wasaidizi wake sasa hapo mpe sifa ya kuwaamini na kuwaongoza vzr wasaidizi wake na kutoa maamuzi sahihi wanapoleta mezani kwake kwa hatua za mwisho.Tujikumbushe pia migogoro na uuzwaji wa maeneo wazi hapa jijini alivyosimamia urejeshwaji wake, pale MNAZI MMOJA na MBELE YA KEMPISK KWENYE FUKWE maeneo hayo yaliporwa na yakarejeshwa ni kazi ya EL, leo hii mama TIBAIJUKA anapata kigugumizi sababu ya kutokuwepo watu kama EL , hilo jengo unalolisema karibu na mess ya polisi kila mfuatiliaji wa ujenzi wa fukwe anajua sakata lake na ni haki au haikuwa haki kujengwa pale na jinsi ilivyogeuzwa ili pajengwe huna budi kumpongeza huyo aliyejitahidi kuzuia kuliko kumsifia aliyejenga kwani msimamo wako ni sawa na wale waliokataa DOWANS isinunuliwe, leo taifa linalia lia kwa madeni. kupata au kutopata nafasi ya kuwa mgombea ni suala jingine kama anania ya kufanya hivyo ni haki yake HOMA ya nini? kwa anayejua atashindwa binafsi namtakia kila la kheri ktk kutimiza malengo yake kisiasa ,kwangu zile sifa za kuwa na mgombea lofa eti ndo uzalendo sizitaki na hazina nafasi kama wewe mwenyewe unashindwa kujitajirisha wewe na familia yako kupitia fursa za kisiasa utawezaji kuondoa umaskini uliotopea kwa wananchi wako ndani ya miaka 10, kama si kuona ukifanya kazi za kukusanya kwa miaka 5, na kujigawia wewe na jamaa zako na viongozi wenzio kile mlichokusanya kwenye ile miaka 5 ya kuondoka madarakani na kufanya mzunguuuuuuko usio na tija kwa wananchi chaguzi kwa chaguzi, kwangu mimi neno la mwisho LOWASSA NJOO ,UMASKINI POTEA.