New Series I: Madudu na sifa za Edward Lowassa!

New Series I: Madudu na sifa za Edward Lowassa!

una hakili ndogo sana mwandishi nazan umeathilika na habari za mitaaan na hujui unalofikiri,kamaunazan ccm ikimteua atashindwa asybuhi jiulize kwa nini wajinga wengi wanapoteza muda kumchafua na kujalibu kumchonganisha na wananchi bila mafanikio.
 
eeeh! wametoa single mpya, mimi nnapita,

mpiga kura
 
Elewa maada, hata kama unampenda sana JK, hata mimi nampenda, lakini ukweli ni kuwa WAZO LA KUJENGA UDOM SIO lake. Sijasema utekelezaji nasema WAZO! Unaonekana kuujua ukweli ila upenzi wako kwa JK unataka kumpa hata visivyo vyake. Tusibishane kwa mambo yaliyo wazi, bila kuwepo na wazo hakuna kinachofanyika. Kwamba wazo bila utekelezaji hamna kitu kitafanyika lakini wazo zuri likiwepo hata vitukuu vitalitumia ndiyo maana hata leo hii Newtons anakumbukwa lakini wanaotekeleza mawazo yake ni wengi. Daruwin mwanzilishi wa ushindani (survival for the fittest) anakumbukwa hadi leo ingawaje wanaoshindania rasilimali ni wengi hata wewe Good 2005
nimekuona huna maana baada ya kukutana na huu upuuzi wako. huwezi kusema watu wanampa sija feki kikwete. mtu ambaye ameanzia from the scretch na kusimamia kila alichokianzisha mpaka kufikia hapa tulipo na kuona UDOM ikisimama. kuwa na wazo na utekelezaji ni vitu viwili tofauti kabisa. by the way how many mawazo are out there? hata wewe unaweza kuwa na wazo la kujenga kanisa hapo ulipo, na linabaki kuwa wazo tu na halina garama yoyote zaidi ya kuwaza. hivi unajua hata muasisi wa wazo la serikali ya majimbo ni Idd Simba? NAONA MNAJARIBU KUTWIST KILA ZURI ALILOFANYA KIKWETE. SHAME ON YOU.
 
Kama sio Lowassa alieleta maji ya L. Victoria basi na kumbe sio Mwakyiembe anaesafisha Bandari ni moja ya ahadi nyingi tu za Mtukufu Rais Kikwete! Tusiwe pimbi
 
Niko teyari kuichukia na kuiponda Chadema endapo mtaendelea kumponda Lowassa ambae wote tunajua ni msafi isipokuwa utajiri wake ambao haumfikii Uhuru Kenyatta unawauma wajinga wenye fitna
 
Niko teyari kuichukia na kuiponda Chadema endapo mtaendelea kumponda Lowassa ambae wote tunajua ni msafi isipokuwa utajiri wake ambao haumfikii Uhuru Kenyatta unawauma wajinga wenye fitna

mkuu umepatwa na derilium au dementia? Lowasa ni msafi?!?! Kaupata lini huo usafi wakati hata nyerere alijua ni fisadi? Au mnadhani hatujui kwamba alimtuma msaidizi wa nyerere akamwombee kwa mwalimu japo akamsafishe jimboni kwake baada ya kumnyofoa kwenye urais?
 
CCM ni machizi lakini kumteua LoWaSsa kugombea urais kwa Tiket ya CCM hawawezi fanya hivyo!
Lowassa ndo injinia wa kuivuruga CCM
Lowassa ndo mzee alie zalisha makundi
Lowassa ndo alifanya juu chini kumwaribia PM pinda iliaonekane ovyo
Lowassa ndo mpikaji udini nchini kwa kutumia Dini kuivuruga serikali lakini ndani ya Bunge kimyaaaaaa
Lowassa ndo Mr Dowans aka Richmond maumivu yake tunayabeba mpaka kesho
Lowassa ni silent killer anaeutaka urais kwa cost yoyote But we will be very kin on that

Mkuu pamoja na hayo yote; Amini usiamini CCM watamsimamisha Lowassa kwenye nafasi ya urais 2015. Mkuu 2015 siyo mbali tumuombe mwenyezi Mungu atupe afya na uzima sote tushuhudie haya nayo kwambia. CCM yote kwa ujumla wao wanamuogopa Lowassa kama ngoma.
 
Eeeh! Mwacheni mheshimiwa wetu bhana,kila mtu ni fisadi kwa kiwango chake
 
mkuu umepatwa na derilium au dementia? Lowasa ni msafi?!?! Kaupata lini huo usafi wakati hata nyerere alijua ni fisadi? Au mnadhani hatujui kwamba alimtuma msaidizi wa nyerere akamwombee kwa mwalimu japo akamsafishe jimboni kwake baada ya kumnyofoa kwenye urais?

Mkuu Mwalimu Nyerere hakumwogopa Lowassa kwa Pesa zake bali kwa kuwa Lowassa ni Follower wa Moringe Sokoine aliye Uliwa kidizaini ili asiharibu jina la Ubaba wa Taifa kutokana na msimamo wake kuhusu uchumi wa Tanzania kitu ambacho Mwinyi baadae alikifanya ilikuwa ndoto ya Sokoine yaani Rukhsa! Shahidi wa nini kilimpeleka Sokoine akhera Lowassa ambae alirudishwa toka Ukepteni wa Jeshi kuja kwenye siasa by Sokione ana siri nyingi na ndio maana Nyerere alimwogopa Lowassa kwani Nyerere hakuwa msafi hata kidogo
 
Katika wale maadui wa Joka la Mdimu watakao hamia Kenya, Lowassa anashika namba ngapi? Azimio la Zanzibar iliasisiwa na akina nani? Akili za kubebewa tujaribu kuchanganya na zetu jamani! CCM hakuna msafi hata mmoja...Tofauti ya Lowassa na kundi zima la CCM ni uwezo wake wa kuthubutu plus uwezo wake wa kutoa maamuzi....Pia ameamua kuwekeza ndani ya nchi tofauti na wenzie wanaoweka fedha Uswis...

Kwenye utekelezaji wa ujenzi wa shule za kata nampa five Edo! Kwenye mradi wa maji pia nampa five...wazo bila ya utekelezaji ni upuuzi...Tuhuma zinazoelekezwa kwake ikiwemo kuikodishia ubalozi wa SA kwangu haina mashiko. Ninacho kiona na tafsiri yangu ni kuwa baada ya kuzika rasmi azimio la arusha na kuingia katika ubepari rasmi viongozi wengi walikuwa hawajui namna ya kutumia fursa zilizopo ili kujilimbikizia mali! yeye alikuwa na maono ya ujasiriamali ndo maana wakati alipokuwa ana Jenga wengi walimbeza kwa kumtania kuwa Jumba lote hilo atakaa na misukule!? alipo fanikiwa kuwapangishia SA na kulipwa fedha kibao, kama kawa wabongo wenye wivu wa kike wakajitokeza!


Issue ya Richmond kila mtu anajua kuwa haimuhusu bali ilikuwa ni deal la JK na wanae plus USA...
All in All Edo anawazidi uwezo wenzie ndani ya magamba...yeye ni mchapakazi mtekelezaji...Wasipompitisha CDM itakuwa inakazi rahisi ya kusukuma mlevi alie chakari talalilla hajiwezi...Mark my word.....
 
mkuu umepatwa na derilium au dementia? Lowasa ni msafi?!?! Kaupata lini huo usafi wakati hata nyerere alijua ni fisadi? Au mnadhani hatujui kwamba alimtuma msaidizi wa nyerere akamwombee kwa mwalimu japo akamsafishe jimboni kwake baada ya kumnyofoa kwenye urais?

Mkuu Mwalimu Nyerere hakumwogopa Lowassa kwa Pesa zake bali kwa kuwa Lowassa ni Follower wa Moringe Sokoine aliye Uliwa kidizaini ili asiharibu jina la Ubaba wa Taifa kutokana na msimamo wake kuhusu uchumi wa Tanzania kitu ambacho Mwinyi baadae alikifanya ilikuwa ndoto ya Sokoine yaani Rukhsa! Shahidi wa nini kilimpeleka Sokoine akhera Lowassa ambae alirudishwa toka Ukepteni wa Jeshi kuja kwenye siasa by Sokione ana siri nyingi na ndio maana Nyerere alimwogopa Lowassa kwani Nyerere hakuwa msafi hata kidogo
 
Eee bhana eee ! Umekosea sana kuwastua hawa Magamba , ungewaacha waendelee na Mpango wao wa kumsimamisha Lowasa 2015 ili wapigwe knock out ya first second , huyo siyo mchafu tu , bali ni kama mtu anayeishi katikati ya jalala .
 
Katika wale maadui wa Joka la Mdimu watakao hamia Kenya, Lowassa anashika namba ngapi? Azimio la Zanzibar iliasisiwa na akina nani? Akili za kubebewa tujaribu kuchanganya na zetu jamani! CCM hakuna msafi hata mmoja...Tofauti ya Lowassa na kundi zima la CCM ni uwezo wake wa kuthubutu plus uwezo wake wa kutoa maamuzi....Pia ameamua kuwekeza ndani ya nchi tofauti na wenzie wanaoweka fedha Uswis...

Kwenye utekelezaji wa ujenzi wa shule za kata nampa five Edo! Kwenye mradi wa maji pia nampa five...wazo bila ya utekelezaji ni upuuzi...Tuhuma zinazoelekezwa kwake ikiwemo kuikodishia ubalozi wa SA kwangu haina mashiko. Ninacho kiona na tafsiri yangu ni kuwa baada ya kuzika rasmi azimio la arusha na kuingia katika ubepari rasmi viongozi wengi walikuwa hawajui namna ya kutumia fursa zilizopo ili kujilimbikizia mali! yeye alikuwa na maono ya ujasiriamali ndo maana wakati alipokuwa ana Jenga wengi walimbeza kwa kumtania kuwa Jumba lote hilo atakaa na misukule!? alipo fanikiwa kuwapangishia SA na kulipwa fedha kibao, kama kawa wabongo wenye wivu wa kike wakajitokeza!


Issue ya Richmond kila mtu anajua kuwa haimuhusu bali ilikuwa ni deal la JK na wanae plus USA...
All in All Edo anawazidi uwezo wenzie ndani ya magamba...yeye ni mchapakazi mtekelezaji...Wasipompitisha CDM itakuwa inakazi rahisi ya kusukuma mlevi alie chakari talalilla hajiwezi...Mark my word.....
Kweli Mkuu RichMund ni JK na rafiki zake na Lowassa aliwahi mhoji JK kwenye kikao cha chama Dodoma kuhusa kutoswa yeye na imekaaje serikali kukaa kimya na kama yeye JK anakumbuka siku alipokuwa nje ya nchi Lowassa alimpigia simu na kumwambia Richmond sio kampuni ya maana ila Rais alimjibu we wacha tu
 
Eee bhana eee ! Umekosea sana kuwastua hawa Magamba , ungewaacha waendelee na Mpango wao wa kumsimamisha Lowasa 2015 ili wapigwe knock out ya first second , huyo siyo mchafu tu , bali ni kama mtu anayeishi katikati ya jalala .

Unamlinganisha Bill Gates na shekhe wa Masjid Sahaba Zanzibar, yupi umpe nchi aongoze? Ndio ndoto yako ya eti Slaa atamwangusha Lowassa
 
Eee bhana eee ! Umekosea sana kuwastua hawa Magamba , ungewaacha waendelee na Mpango wao wa kumsimamisha Lowasa 2015 ili wapigwe knock out ya first second , huyo siyo mchafu tu , bali ni kama mtu anayeishi katikati ya jalala .
 
Niko teyari kuichukia
na kuiponda Chadema endapo mtaendelea kumponda Lowassa ambae wote
tunajua ni msafi isipokuwa utajiri wake ambao haumfikii Uhuru Kenyatta
unawauma wajinga wenye fitna

Mkuu akili yako iko sawa? au ulizaliwa njiti?
 
Back
Top Bottom