Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Kwa juhudi hizo nadhani hata haters wanapungua make lazma wakubali tu kwani hamna namna ha ha haHuyu jamaa atachukua tuzo mpaka tutaomba poo.Huu ubunifu sijawahi ona.Mtu anakimbiza tangu mwanZo mpaka mwisho.It's amazing.
Nyumbani kwa Bwana Mcharo:
View attachment 255686 View attachment 255687 View attachment 255693 View attachment 255688
Jirani tu hapo, yaani kwa Majirani wa Bwana Mcharo sasa:
View attachment 255689 View attachment 255690 View attachment 255691 View attachment 255692
sawa lakini hiyo haimaanishi Kiba mbovu ingawa ana matatizo yake yanayotukwaza sisi mashabiki wake!mi sio shabiki maandazi!!domo yuko juu kikukweli hata the way anavofanya kazi unaona kabisa huyu sasa anahama hizi level za kibongo bongo!... nikuambie kitu?? wakati domo anavuka boda kufanya shooting kali kama hizo, Leo Kiba alikua pale viwanja vya benjamini Mkapa anacheza ndondo na watoto wa mtaani!!... kaniboa kweli huyu jamaa leo!! upo bize na ndondo halafu unataka kupambana na domo kwenye mziki??
Kumchukia Diamond kwa sasa Sawa na kujipunguzia siku za kuishi.
Najisikia furaha sana kuwa sehemu ya kizazi cha Tanzania kilichoshudia Mwanamziki wa Kitanzania akitikisa Africa.
Wakati wenzetu walishuhudia Taifa Stars ikicheza mataifa huru Nigeria mwaka 1980, sisi tunashudia kijana wetu akitingisha Africa.
Ningependa Kiba awe Diamond wa pili aachane na Team za Kijinga aanze kufanya mziki biashara sio furahisha genge.
Kiba Anza kuangalia mbele, la sivyo akina Wanjera watakupita hapo hapo na tuzo zako za kupendwa.!
Binafsi nitafurahi sana Kiba akifikia level hizi, ila sio kwa njia za kipuuzi kama anazotumia.
Kiba anatuumiza sana,mfano mwangalia diamond katoa hii video halafu video nyingine ipo njiani ye na inyanya hapo hapo collabo na psquare.
Kiba akitoa audio video mtasubiri mwaka wakati mwenzake karibia kila mwezi anatoa kitu kipya
Kiba anatuumiza sana,mfano mwangalia diamond katoa hii video halafu video nyingine ipo njiani ye na inyanya hapo hapo collabo na psquare.
Kiba akitoa audio video mtasubiri mwaka wakati mwenzake karibia kila mwezi anatoa kitu kipya
Hahahahaha true true true alikiba mswahili wa mchikichini ataachaje uswahili bhana halafu vidada vya mjini shoooooobooo kwake mwacheni diamond aitwee diamond
Hii video ni tatizo mijini Aisee
kwanza moti moti motiii sikikiaaa, mwanzo nashitua kijotii naumiaaaa, moyo wangu tiih tiih tiih unakimbiaaa,,, uoga wa manoti notiii nahofiaaa,,,, Oooooh! usije niacha ka naniii, ntaumia sana,,,, oooh honey utaniumiza na ntachekwa mtaani ntalia mama......
Mashabiki wake siwaoni kwenye huu uzi,chezea PLATNUM wewe!!
Walitumiana pm kuwa wasuse.!Mashabiki wake siwaoni kwenye huu uzi,chezea PLATNUM wewe!!
kwa hiyo mimi shabiki wa kiba mandazi basi wewe shabiki wa dadamond ni bonge la kitumbuaKiba angepata mashabiki watano kama wewe hakika kungekua na ushindani hasa. Cha ajabu kazungukwa na mashabiki maandazi