Frankly speaking!! Yaa Kawaidaaa sanaa tena Sana naweza kusema NITAMPATA WAPI that video is super hot than this one! Kwa sababu hii kuu
1. sauti imemezwaa na beat ya nahrel. 2. Amejitahid kufanya combination ya masta mbalimbali ili iwe inavutia ila kwa uhalisia ni Normal thing nothing Big.
3. Ubunifu Wa mashairii unazidii kupungua sijui inakuajee.
Note:this are my opinion sina team please, naongea nachokionaa na ninavyomjuaa.
kama ni kijana lazima utakuwa Teja la Unga kama ni Mzee ww ni Mchawi tena wa uswahilini kabisa
na usipoangalia kuna siku utakuja mkataa hata mama yako aliekuzaa!
Chuki gani hzo
Ni kibagiaaaaa kwa kweli,chezea Dangoteee.Tatizo nyotaaaaaaa.
Hater yeyote atakayejaribu kuharibu naomba askari polisi niitwe
Hakuna ukweli katika ulilo lisema tena Audio ni kali kuzidi video...mwisho umejiami bila sababu
Mziki biashara sio mapenzi sio ubishoVideo nzur nyimbo No
Hayoo ni maoni yako, siwez kupingana nayoo. Na masikio uliosikilizia nayo pia niyako siwezi kukukataliaa.
sawa lakini hiyo haimaanishi Kiba mbovu ingawa ana matatizo yake yanayotukwaza sisi mashabiki wake!mi sio shabiki maandazi!!domo yuko juu kikukweli hata the way anavofanya kazi unaona kabisa huyu sasa anahama hizi level za kibongo bongo!... nikuambie kitu?? wakati domo anavuka boda kufanya shooting kali kama hizo, Leo Kiba alikua pale viwanja vya benjamini Mkapa anacheza ndondo na watoto wa mtaani!!... kaniboa kweli huyu jamaa leo!! upo bize na ndondo halafu unataka kupambana na domo kwenye mziki??
pole mwaya, si unajua tena watu wenye vibaji vyao, husubiri kipaji kiwafanyie kazi badala ya wao kukifanyia kazi kipaji, lakini sisi waswazi wa tandahimba sijui tandale NGUVU, UBUNIFU, MAARIFA, KUJITUMA, KUJITAMBUA NA NJAA YA MAFANIKIO ndivyo vinavyotuweka mjini.