SHERIA NA KANUNI ZA JAMIIFORUMSJaman hodi humu ndani naomba muongozo tafadhali maana nimekua mfatiliaji kimya kimya kwa mda mrefu nikaona nakosa uhondo
Njoo pm kuna Ishu nataka tuijengeJaman hodi humu ndani naomba muongozo tafadhali maana nimekua mfatiliaji kimya kimya kwa mda mrefu nikaona nakosa uhondo
Hahahahahaaaaa!!!!!!wewe jamaa weweKaribu ila kama kichwa yako ni resi tegemea wale jamaa zetu invisible watakukwara tu:!
Karibu sana mkuuAhahhha asanteni sana kwaujumla,,,,,nami nakaribia kwa miguu miwili kama sio minne