New Delhi: Tembea ujionee

New Delhi: Tembea ujionee

jamaa wanatema makohozi wale sijapata kuona!nilienda kutembea huko nikajuta kwenda yaani ukiruka kohozi unakanyaga mavi
 
wewe umeenda kwenye slums ulitegemea nini?
Sio slums mkuu hayo yapo sana leo nilikua mitaa ya marol hapa bombey hapa watema mate hovyo hovyo, hii inatokana na kuber na ugoro wanazokula mida yote. Hawa jamaa ni machafu sana yanakojoa hovyo hovyo
 
Hivi akina Amitah na akina Sharh Khan wanaishi wapi?
Mbona ngozi zao zina afya?
Kwahiyo yale majumba tunayoyaona kwenye muvi zao sio au?
 
Hivi akina Amitah na akina Sharh Khan wanaishi wapi?
Mbona ngozi zao zina afya?
Kwahiyo yale majumba tunayoyaona kwenye muvi zao sio au?
Hao mastar sina uhakika na makazi yao rasmi, ninachojua wanamiliki investment katika miji tofauti India, na huko kote wanaonekana. Kuhusu Ujenzi, hao wahindi achana nao. Wako vizuri. Mpaka mwaka 2015, New Delhi ilikuwa na jengo la ghorofa 78 na halipo katika top 3 ya majengo marefu ya India.
 
Hao mastar sina uhakika na makazi yao rasmi, ninachojua wanamiliki investment katika miji tofauti India, na huko kote wanaonekana. Kuhusu Ujenzi, hao wahindi achana nao. Wako vizuri. Mpaka mwaka 2015, New Delhi ilikuwa na jengo la ghorofa 78 na halipo katika top 3 ya majengo marefu ya India.
Aisee....safi sana
Kwahiyo wale wahindi tunaokutana nao Masai Club wanaojifanya star kumbe kwao ndio kuko rafu hivi.....hahhaa
 
Aisee....safi sana
Kwahiyo wale wahindi tunaokutana nao Masai Club wanaojifanya star kumbe kwao ndio kuko rafu hivi.....hahhaa
India tajiri ni tajiri kweli kweli. Maskini ni Maskini kweli kweli. Kuna maghorofa ya kufa mtu na kuna watu wanalala ktk vibanda vya mabox. Kuna wanaolala ktk viambaza. India kuna Guta zinabeba watu. Baiskeli zinabeba watu. Ndio nikasema TEMBEA UJIONEE.
 
Aisee....safi sana
Kwahiyo wale wahindi tunaokutana nao Masai Club wanaojifanya star kumbe kwao ndio kuko rafu hivi.....hahhaa
Ndio msiwe mnawakubali kirahisi rahisi. Ukitaka kumuumiza Mhindi Kariakoo, mwambie umekaa India, afu mtajie machaka yao. Lazima afunge mdomo wake.
 
Maisha yao ya kawaida sana kama yetu ila maskini wa huku kamzizi umaskini maskini wa India omba omba wakutosha, wapiga debe pia wapo. Tofauti niliyoiona huku mitumba ipo ila kidogo sana na vitu vyao ni fixed price no bargain
 
Back
Top Bottom