Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,066
kwani we unajua Mama yako aliolewa na Baba yako akiwa ana miaka mingapi?Na unajua kabla ya hapo alikuwa na mwanaume gani?
Halafu hajaelewa...Ni Pope ndo alikuwa na umri wa miaka 12....Alikuwa na mawazo ya kitoto kabla sauti ya Mungu haijamjia na kumwambia awe Mchungaji wa kondoo wake...