New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Lakini mbona mtume wa wasilamu alioa kabisa? tena katoto ka miaka 8 na hamsemi?

Pamoja na hayo,lakini hayati Mwamedi aliendeleza uzayuni kwa kumtembea na maajuza,mambo yakamnogea hadi akapitisha sheria ya kuoa wake wengi,
 
Sasa hapo kuna jipya gani??may be hujui Historia ya kanisa na watakatifu baadhi walivyoishi..Tukianzia kwa petro alikuwa mvuvi ,God knows mengine kabla hajarudi kundini..Tukija kwa Paulo ndo kabisaa alikuwa muuaji lkn akatubu..Sasa hilo jipya kwa huyu papa lipo wapi?
Kwamantiki hiyo tutegemee ipo siku kanisa litaongozwa na SHOGA mstaafu. Yani jitu lina kua shoga weeee! dipoje linaona bola liingie kuitangaza injili than linakabidhia wadhfa wa popo.
 
Watu hawatazami!hata huyo Mama aliyehojiwa ni mke wa mtu,tena ni bibi wa miaka 77...ktk jamii za Watu wa latin Amerika miaka 12 mwanaume na mwanamke kuwekeana ahadi za ndoa ni kawaida,wakati Papa akiwa na miaka 76,huyo mwanamke ana miaka 77...wametofautiana mwaka mmoja!!Padre ni msingi wa vyeo vingine ktk kanisa kama Askofu,Cardinal au Papa...Padre haibuki,ni tunda la familia..anazaliwa na kukua ktk mazingira ambayo watoto wengne wanakua...anapita ktk michakato yote..mpaka anapoamua kuyakana ya dunia na kumfuasa Kristo......katika hayo mengi mwandish alitakiwa kuongeza haya...."Wakati makadinal wengine ktk maeneo yao ya huduma huish ktk majumba ya kifahari,huyu alikaa ktk Apartment ya vyumba viwili akiwa na rafiki yake kilema,akipika na kujifulia nguo mwenyewe,hutumia usafiri wa umma kwenda ofisini kwake,apatapo safari kwenda Vatikan hukaa ktk hotel ya kawaida,wakati wenzake wakivaa misalaba ya dhahabu yeye ana "wooden cross",cassock yake si maridadi na yenye ghalama,hata alipokuwa papa hakupanda gari la kipapa..alipanda gari na makadinal wenzake wa zaman kurudi St.Peters,na wakati wa kumpongeza hakuruhusu waje mmojammoja,bali yeye aliwafuata na kuwapa mkono mahali pao...juzi alifuata mizigo yake ktk hotel aliyofkia na kulipa bili mwenyewe...amewambia watu wa Argentina ktk umasikin wao wasihangaike kuja Roma ktk misa kuu ya kuanza utume,kwan safar n ghalama sana..atatafuta wasaa wa kwenda kuwashukuru kwa kumlea!Na amewambia wasifurah yeye kuwa Papa toka Argentna,bali wamuombee mana mzgo alokabidhiwa ni mkubwa"...haya ndo mengi ya Pope Francis,ambao wengine wanajichanganya na kumwita Pope Francis I....Ni Papa wa 265 japo wapo wanaosema ni wa 266...This is another Theological Battle
 
Alivyoiandika sivyo ulivyo tafsiri,ameandika kwa maana ya kudhalilisha zaidi kuliko kutoa taarifa ndio maana waponda maandishi yake.Uzuri Huya Papa hajakataa wala kukanusha ameelezea ukweli wa maisha yake hivyo alivyoandika amekosea,angeandika namna ambavyo mhusika mkuu amejielezea.Na kunukuu maneno ya muhusika mkuu.Kuwa baunsa au kucheza dansi siyo dhambi.
Hata mimi sikubaliani na ujumbe wa mwandishi lakini siwezi KUMPONDA kwa sababu hayo ni mawazo yake. Nitakubali tukubali kutokubaliana kwa misingi ya sababu na muono wangu.

Ndiyo maana nikasema, kwa sasa ni jukumu la kanisa kuwaelimisha watu wenye mtazamo na mawazo kama ya huyu mwandishi ili waujue ukweli kuhusu Papa Francis na historia ya kanisa kwa ujumla.
 
2.Kutaka kuoa mtoto wa miaka 12.

3. kucheza mziki wa Tango na kinadada warembo.

4..........hili halisemeki hazarani, dugu!

"Kutaka kuoa" lakini hakuoa; hebu nyamaza wewe ukiletewa ya mitume itakuwa aibu humu.
 
Miaka 20,muadilifu na mtiifu kwa mumewe aliyekuwa na miaka 25 wakati wakioana!sasa Mama ni miaka 75 wakati Baba alishatangulia mbele za haki akiwa na miaka 86!Wamama wa nyakati hizo si kama wadada mnaoa ninyi vijana!Wale walitunza miili yao na kuheshmu waume zao!Ndo mana tuliwafanyia Jubilee ya miaka 50 ya Ndoa wakiwa wamoja na wenye kupendana sana
umesema mama aliolewa na mzee akiwa na umri wa miaka 20 na mzee akiwa na 25. Bahati mbaya mzee amshatangulia mbele za haki akiwa na umri wa miaka 86 na mama mpaka sasa ana 75. Mpaka hapo huoni unatudanganya wana JF kwani kwa umri wa mzee uliousema pindi wanaona na hadi sasa hata kama angelikuwa hai asingekuwa amefikisha miaka 86, la sivyo ukubali kuwa mama aliolewa akiwa na miaka 9 na siyo 20 ama mzee amefariki akiwa hajafikisha umri huo. Kuwa makini unacho ielezea jamii.
 
2.Kutaka kuoa mtoto wa miaka 12.

3. kucheza mziki wa Tango na kinadada warembo.

4..........hili halisemeki hazarani, dugu!

mtume Moud (r.i.p) alioa wake zaidi ya kumi pamoja na mfungwa wa gereza, miaka 17 na wa miaka 9. Huyu wa mwisho ndo balaa hata titi bado
 
Ni kawaida kwa binadamu kutaka kujiridhisha kwa habari waipendayo, laiti wangekuwa wafuatiliaji wa biblia wasingeandika haya kwa sababu kuna historia ya mtume Paulo aliyeandika karibia vitabu vyote vya agano jipya, huyu alikuwa zaidi ya hiki wanachokiona kipya hapa
 
Pamoja na hayo,lakini hayati Mwamedi aliendeleza uzayuni kwa kumtembea na maajuza,mambo yakamnogea hadi akapitisha sheria ya kuoa wake wengi,

yeye akaoa zaidi ya kumi halafu wao akawaambia mwisho wanne!
 
anyway umejitahid kuvutia wa2 2some....

kichwa cha habari na kiwiliwili haviusiani
 
umesema mama aliolewa na mzee akiwa na umri wa miaka 20 na mzee akiwa na 25. Bahati mbaya mzee amshatangulia mbele za haki akiwa na umri wa miaka 86 na mama mpaka sasa ana 75. Mpaka hapo huoni unatudanganya wana JF kwani kwa umri wa mzee uliousema pindi wanaona na hadi sasa hata kama angelikuwa hai asingekuwa amefikisha miaka 86, la sivyo ukubali kuwa mama aliolewa akiwa na miaka 9 na siyo 20 ama mzee amefariki akiwa hajafikisha umri huo. Kuwa makini unacho ielezea jamii.

Tazama vizuri utanielewa!!ukijipgia mahesabu yako utajichanganya
 
Back
Top Bottom