New Age Paganism

Bob Manson

JF-Expert Member
May 16, 2021
784
1,445
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.

Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.

Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.

Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)

Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.

#BM
 
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.

Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.

Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.

Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)

Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Ushoga live aisee
 
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.

Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.

Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.

Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)

Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
yalikuwepo sema wewe umeyakuta.yapo mpaka dunia itakapofika mwisho wake
 
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.

Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.

Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.

Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)

Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Neno pagan ni neno la kikoloni ambalo limetumika kubagaza imani za asili za watu tofauti na wakoloni.

Ni neno fulani la dharau ambalo wasomi wa zama hizi wanakataa kulitumia.
 
Zamani watu walikua wastahimilivu sana na walikua na vifua sana mtu anafarijiwa kanisani/msikitini lkn hamna cha maana anachopata na haoni kama ni shida, ila vijana wa saivi maisha yamekua magumu umletee porojo za utakua billionea kwa maombi?
 
Hellow brothers and sisters.
Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu.

Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo yanatia mashaka kwani ni dalili ya kwamba mtu anaweza kuwa mpagani bila kujijua. Pia maneno hayo tunayaiga kutoka kwa watu wa mataifa ya mbali.

Na huyo mtu unakuta ana imani yake ya dini lakini bado anazama katika misemo hii ya kileo bila kujua misingi na lengo kuu hasa.

Mifano ya maneno hayo ni:

• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo

Jesus said to all : If anyone would come after me, let him deny himself and take up his cross daily and follow me. ( Luke 9:23)

Hivyo, kama mtu umeamua kuwa muumini wa kweli basi sio vyema kubadili na kujipa mamlaka ya kuendesha na kusimamia maisha yako bila kumuelekea Bwana wako kwani yeye ndiye mwenye mamlaka makuu juu yako.
Toa ujinga wako hapa
 
Yes, follow your heart. Sasa how are you going yo be limited na maneno ya watu waliokufa miaka mingi huko nyuma wakupangie namna ya kuishi?

Wewe ni mtu mzima una akili zako, huwezi kua confined kwenye mawazo ma mtazamo wa watu wengine.

Paganism ni stori tu na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
 
Zamani watu walikua wastahimilivu sana na walikua na vifua sana mtu anafarijiwa kanisani/msikitini lkn hamna cha maana anachopata na haoni kama ni shida, ila vijana wa saivi maisha yamekua magumu umletee porojo za utakua billionea kwa maombi?
Hapo inamaana tatizo ni vijana wenyewe na wala sio hizo imaani
 
Neno pagan ni neno la kikoloni ambalo limetumika kubagaza imani za asili za watu tofauti na wakoloni.

Ni neno fulani la dharau ambalo wasomi wa zama hizi wanakataa kulitumia.
Pia mtu akijitambulisha kama mpagani basi anakuwa mtu ambaye hana misingi ya kiimani na haieleweki katika jamii zetu
 
Yes, follow your heart. Sasa how are you going yo be limited na maneno ya watu waliokufa miaka mingi huko nyuma wakupangie namna ya kuishi?

Wewe ni mtu mzima una akili zako, huwezi kua confined kwenye mawazo ma mtazamo wa watu wengine.

Paganism ni stori tu na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Sawa, pia huo ni mtazamo wako.
 
And the illusion of self freedom will lead many into the wrong direction.
How? Why? To me self freedom is crucial for personal growth and fulfillment. It empowers individuals to make choices that align with their values and aspirations, leading to live maisha wanayoyataka ilimradi usivunje sheria. We live only once, lets make the most of it.
 
Vijana hawana tatizo lolote ni kwamba wameamua kuuishi uhalisia wao wanatafuta riziki zao wanaishi, Sasa wahafidhina kama ww ndo mnakua wagumu kukubaliana na lifestyle ya vijana mnataka waendelee kuishi kama wazee wao ambao walikumbatia Kila kitu bila kuchuja vitu
Hiyo riziki ambayo vijana wanatafuta, Inatoka kwa Mungu na hakuna anaye pata kwa ujanja wake pasipo na kibali kutoka kwa aliye juu.
 
Back
Top Bottom