The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,378
- 17,391
Dini ya kitaahira hii ndio maana chini imeipiga marufuku. India wamasema within 20% watahakikisha wana eliminate uislamu.Yaani mnapeenda kuuchafua uislam kuzifurahisha nafsi zenu
Waislam kwao (kwetu) ngurue haram wameeka wazi kue na sehem maalum za kuuza nyama ya ngurue ila isichanganywe sababu kwetu haram (unajua madhara ambayo yatapatikana ikiwa hilo lingepingwa)
Huko india mnapopaona watu wanaishi salama na wanajua kudeal na waislam kama mnavyodai jamii kubwa ya wahindi wanaabudu ng'ombe wanamuita eti ndio Mungu wao unajua ukichinja Mungu wao kinavyonuka haya hawa nao waislam mpaka wanakua hivi
Kila dini ni bora kwa muumini husika huu ndio ukweli unadhani wewe sijui dini yako ila kama unaamini dini yako sio bora kuliko ya mwengine mbona huiachi hio dini unayoiamini ukahamia budha au ukaabudia Ng'ombe
Uislam una mipaka na miiko yake hua unaongea kweupe hauna unafiq nyama inayochinjwa na kafiri au asiekua muislam hio haram mkipenda ndio ukweli hata mkichukia ndio ukweli mnataka waislam waishi mnavyotaka nyie poleni sana
Uislam munauchukia pamoja na na waislam tena sana ila mtajipa maradhi ya bure sababu uislam haujaanza kupigwa vita leo ila hamjiulizi kwanini tu upo na unaendelea kuepo
Chuki zenu dhidi ya waislam hazitafanya uislam na waislam wasiwepo ama wasiabudu
kitimoto haram nyama inayochinjwa na asie muislam haram vile vile yaani mtu achinje tu kuku kindezi ndezi unilishe poleni sana tuvumilieni hio ndio imani yetu haina unafiq
Aisee..Watoto wa kipalestina walivyo wazuri, natamani waje huku TZ
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Naona unaruka ruka kama chura kwenye majiDini ya kitaahira hii ndio maana chini imeipiga marufuku. India wamasema within 20% watahakikisha wana eliminate uislamu.
India waislamu hawaleti upumbavu huo wa sijui kitimoto ni haramu sijui tuwe na bucha zetu sijui ujinga gani, wamepewa masharti ni eitha wakubali kuyafuata kwa lazima ama wafe njaa na wanaishi vizuri tu.
Huku sisi tumewabebeleza sana waislamu haya ndio matokeo yake.
Mkuu Netanyahu alikuwa anafanya hivyo kwasababu za kisiasa kusiwepo na mashambulizi ambayo yangemletea shida kushinda uchaguzi. Akaruhusu mamilioni ya US dollars kuingia Gaza kutokea Qatar.Ulichoandika ni kweli kwa kiasi fulani Ila kina upande mwingine wenye utata.
usisahau hiyo hiyo Israel huko nyuma iliitumia Hamas kudidimiza uhalali wa mamlaka ya Palestine (PA) ili kuua ndoto ya mataifa mawili.
Gaza kaskazini hapafai tena kuishi kwa sasahivi.Yaani waliondolewa Gaza kaskazini wakaambiwa waende kusini wakatii, sasa unawaambia waondoke kusini waende Misri?. Hiyo ni janja ya nyani ya kuwaondoa Gaza. Wakishsondoka tu, Israel kamwe haitoruhusu warudi Gaza!
Kwa nini wasiwaambie sasa warudi Gaza kaskazini ili wadili na kusini?
Kwa hiyo wanataka Wapalestina waende Misri, kisha Israel Iharibu Gaza kusini kama ilivyoharibu kaskazini, kisha waje waseme kuwaambia wapalestina kuwa hamuwezi kurejea Gaza nzima kwa sababu Gaza yote imeharibika?Gaza kaskazini hapafai tena kuishi kwa sasahivi.
Unaweza ukawa sahihi kwenye hilo.Kwa hiyo wanataka Wapalestina waende Misri, kisha Israel Iharibu Gaza kusini kama ilivyoharibu kaskazini, kisha waje waseme kuwaambia wapalestina kuwa hamuwezi kurejea Gaza nzima kwa sababu Gaza yote imeharibika?
Kilichowatokea Lebanon syria hawatakaa warudie .....wa Palestine wako wengi huko zaidi wazawa na walitaka kupindua serikali wameanzisha vyama bina nguvu kuliko wazawa wabishi wana sumbua ndio maana hakuna nchi kiarabu wanawataka.....
Wangekubali hapo Uganda, ni wazi tungekuwa tunazamia kwenda kufanya kazi mashambani. Ila Mayahudi naamini hawakutaka kupoteza Yale maeneo wanayoamini Yana historia zao za kidini.Bwana mdogo, ulichokiandika ninakijua, si kigeni kwangu na kupitia ulichokiandika nilihitimisha kuwa wayahudi ni waungwana.. Walikataa Uganda na Argentina nchi zenye hali ya hewa nzuri wakachagua mashariki kati.. Unajua ni kwanini?.Uganda na Argentina kwenye ardhi nzuri na hali ya hewa Safi si kwao.
Huuoni huo uungwana?.
Foolishness has no cure
Except in Jesus Christ.
Sure..Wangekubali hapo Uganda, ni wazi tungekuwa tunazamia kwenda kufanya kazi mashambani. Ila Mayahudi naamini hawakutaka kupoteza Yale maeneo wanayoamini Yana historia zao za kidini.