Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Kafieni mbele....
ayaaaa! na wao wanajibuje?
Kafieni mbele....
RIP my "X".weka neno lolote kwa X wako.
''Uishi kwa amani x wangu''
Sent from SIEMENS mkonge.
ni kupasha tu kipolo hakuna namnanajua no zangu za simu zipo moyoni, asijali ki2 cha kale hakinuki kinakuwa kimejaa mbolea.
Watajibu nini wakati washaenda kufia mbeleayaaaa! na wao wanajibuje?
vizuri sana mkuuSi
Sijawai mkuu, na sitofanya hivo ...nafanya hivo kwa heshima ya mme wake, mwanaume mwenzangu japo simjui.
inategemea umeachana nae kwa mazingira gani..Yaani huu uzi unaonyesha ni jinsi gani watu wanaombeana mabaya. Jamani kwani ukiachana na mtu inakuwa ugomvi[emoji56][emoji56]
Hata kama, ndio ujijaze chuki na kumuombea mwenzio mabaya?inategemea umeachana nae kwa mazingira gani..
ndio unamuombea tu ,kuna mtu humu analalamika ametapeliwa penzi pamoja na pesaHata kama, ndio ujijaze chuki na kumuombea mwenzio mabaya?
Mama mbona moyo wako unaonekana kuwa na uchungu mkubwa saana!!?alaaniwe na uzao wake wote
Acha kifo kiwafumanie
washuke chini Kuzimu wangali hai;
ee Mungu, utawaporomosha shimoni chini kabisa,
hao hawatafikia nusu ya maisha yao.
MKUU/JEMBEmi ni- jembe, sichagui shamba!!
Aiseeeemi ni- jembe, sichagui shamba!!
Kama alikufilisi lazima hasira iwepoYaani huu uzi unaonyesha ni jinsi gani watu wanaombeana mabaya. Jamani kwani ukiachana na mtu inakuwa ugomvi[emoji56][emoji56]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ujeee uchukue machupi yako nimejitahidi kuyaficha nimechoka.
duuh nadhan amekupataNam dedicated wimbo wa harmonizi, "BADO".
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] barabaraMKUU/JEMBE
KWAHIYO NA MIMI NAWEZA KUJA KUKUCHUKUA NIKUTUMIE KWENYE SHAMBA LANGU LA MAPENZI..?