Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Kuna dada nilikutana nae kwenye gari, na nilikua Nakaa nae jirani. Kujisachi alisahau wallet mdogo yenye hela. Mara akaanza kucheka, konda aliendelea kukusanya kwa wengine, bibie nikamuelewa sababu majirani mtaa mmoja, nikampa kama elfu kumi.
Then, akanipa namba ya simu jioni, nikaifuate hela yake, nikaenda, kukuta anatoka kuoga na khanga, nikajikuta nimemgonga, kumbe alitoka kuachana na mmewe, sasa nikawa kama nimehamia kwake. Saa nyingine naamka saa kumi na moja, naenda kumgonga kisha tunaenda job. Akahamia eneo lingine nikaendelea, akahamia Kinondon kama kawa.
Akaja akapata Mimba ikatoka, huyu dada najua ananipenda, alikua anaenjoy sana sex, mpaka wenzie walinitafuta.
Nikaja kusikia ameolewa na tajiri mmoja Mbez Beach, majuz kaja home naambiwa gari ya kifahari nimegoma kutoka. Alichukia,
Lakn sirudi nyuma...naona ana majanga ndan ya ndoa anataka aniambie


Braza nimekuvulia kofia kwa uwongo.
 
Back
Top Bottom