Neno langu la Imani kutoka kitabu Cha wanabii

Neno langu la Imani kutoka kitabu Cha wanabii

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,268
Reaction score
4,490
Kama ilvyoandikwa

1πŸ‘‰ Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,
ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

2 πŸ‘‰ Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,
lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

3πŸ‘‰ Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja
jinsi alivyo mpumbavu.

4πŸ‘‰ Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

5πŸ‘‰ Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

6πŸ‘‰ Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini.

7πŸ‘‰ Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea
kwa miguu kama watumwa.

8πŸ‘‰ Yeye achimbaye shimo
aweza kutumbukia ndani yake,
yeyote abomoaye ukuta
anaweza kuumwa na nyoka.
9πŸ‘‰ Yeyote apasuaye mawe
inawezekana yakamuumiza,
yeyote apasuaye magogo
inawezekana yakamuumiza.

10πŸ‘‰ Kama shoka ni butu
na halikunolewa,
nguvu nyingi zinahitajika,
lakini ustadi utaleta mafanikio.

11πŸ‘‰ Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa,
mchezeshaji hatahitajika tena.

12πŸ‘‰ Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema,
bali mpumbavu huangamizwa
na midomo yake mwenyewe.
13πŸ‘‰ Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,
mwishoni ni wazimu mbaya,
14πŸ‘‰ naye mpumbavu huzidisha maneno.

Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,
ni nani awezaye kueleza ni jambo gani
litakalotokea baada yake?

15πŸ‘‰ Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,
hajui njia iendayo mjini.

16πŸ‘‰ Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa
na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

17πŸ‘‰ Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika,
na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:
wao hula ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

18πŸ‘‰ Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama;
kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

19πŸ‘‰ Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
nao mvinyo hufurahisha maisha,
lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

20πŸ‘‰ Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,
au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,
kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,
naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.
 
Kama ilvyoandikwa

1πŸ‘‰ Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,
ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

2 πŸ‘‰ Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,
lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

3πŸ‘‰ Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja
jinsi alivyo mpumbavu.

4πŸ‘‰ Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

5πŸ‘‰ Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

6πŸ‘‰ Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini.

7πŸ‘‰ Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea
kwa miguu kama watumwa.

8πŸ‘‰ Yeye achimbaye shimo
aweza kutumbukia ndani yake,
yeyote abomoaye ukuta
anaweza kuumwa na nyoka.
9πŸ‘‰ Yeyote apasuaye mawe
inawezekana yakamuumiza,
yeyote apasuaye magogo
inawezekana yakamuumiza.

10πŸ‘‰ Kama shoka ni butu
na halikunolewa,
nguvu nyingi zinahitajika,
lakini ustadi utaleta mafanikio.

11πŸ‘‰ Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa,
mchezeshaji hatahitajika tena.

12πŸ‘‰ Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema,
bali mpumbavu huangamizwa
na midomo yake mwenyewe.
13πŸ‘‰ Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,
mwishoni ni wazimu mbaya,
14πŸ‘‰ naye mpumbavu huzidisha maneno.

Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,
ni nani awezaye kueleza ni jambo gani
litakalotokea baada yake?

15πŸ‘‰ Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,
hajui njia iendayo mjini.

16πŸ‘‰ Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa
na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

17πŸ‘‰ Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika,
na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:
wao hula ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

18πŸ‘‰ Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama;
kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

19πŸ‘‰ Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
nao mvinyo hufurahisha maisha,
lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

20πŸ‘‰ Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,
au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,
kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,
naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.
Very good..

Hizi ni mithali za hekima za Mfalme Suleiman toka ktk Biblia Takatifu - Neno la Mungu kitabu cha Mithali...

Ungezifafanua na namna zinavyofanya kazi katika maisha ya kila mwanadamu ya kila siku...

Mfano kuna hii πŸ‘‡(nanukuu)

"...8πŸ‘‰ Yeye achimbaye shimo
aweza kutumbukia ndani yake,
yeyote abomoaye ukuta

anaweza kuumwa na nyoka.."

Maana yake ni hiiπŸ‘‡

Kwamba, yeyote amfanyiaye mwingine hila ili mabaya yampate, uwezekano wa hiyo hila kugeuka na kumpata mwenyewe ni 100%...
 
Kama ilvyoandikwa

1πŸ‘‰ Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,
ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

2 πŸ‘‰ Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,
lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

3πŸ‘‰ Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja
jinsi alivyo mpumbavu.

4πŸ‘‰ Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

5πŸ‘‰ Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

6πŸ‘‰ Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini.

7πŸ‘‰ Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea
kwa miguu kama watumwa.

8πŸ‘‰ Yeye achimbaye shimo
aweza kutumbukia ndani yake,
yeyote abomoaye ukuta
anaweza kuumwa na nyoka.
9πŸ‘‰ Yeyote apasuaye mawe
inawezekana yakamuumiza,
yeyote apasuaye magogo
inawezekana yakamuumiza.

10πŸ‘‰ Kama shoka ni butu
na halikunolewa,
nguvu nyingi zinahitajika,
lakini ustadi utaleta mafanikio.

11πŸ‘‰ Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa,
mchezeshaji hatahitajika tena.

12πŸ‘‰ Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema,
bali mpumbavu huangamizwa
na midomo yake mwenyewe.
13πŸ‘‰ Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,
mwishoni ni wazimu mbaya,
14πŸ‘‰ naye mpumbavu huzidisha maneno.

Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,
ni nani awezaye kueleza ni jambo gani
litakalotokea baada yake?

15πŸ‘‰ Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,
hajui njia iendayo mjini.

16πŸ‘‰ Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa
na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

17πŸ‘‰ Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika,
na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:
wao hula ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

18πŸ‘‰ Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama;
kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

19πŸ‘‰ Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
nao mvinyo hufurahisha maisha,
lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

20πŸ‘‰ Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,
au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,
kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,
naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.
Au nimekosea ndugu zangu (magufuli voice)
 
Kama ilvyoandikwa

1πŸ‘‰ Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,
ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

2 πŸ‘‰ Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,
lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

3πŸ‘‰ Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja
jinsi alivyo mpumbavu.

4πŸ‘‰ Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

5πŸ‘‰ Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

6πŸ‘‰ Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za utawala, hali matajiri wanashika nafasi za chini.

7πŸ‘‰ Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea
kwa miguu kama watumwa.

8πŸ‘‰ Yeye achimbaye shimo
aweza kutumbukia ndani yake,
yeyote abomoaye ukuta
anaweza kuumwa na nyoka.
9πŸ‘‰ Yeyote apasuaye mawe
inawezekana yakamuumiza,
yeyote apasuaye magogo
inawezekana yakamuumiza.

10πŸ‘‰ Kama shoka ni butu
na halikunolewa,
nguvu nyingi zinahitajika,
lakini ustadi utaleta mafanikio.

11πŸ‘‰ Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa,
mchezeshaji hatahitajika tena.

12πŸ‘‰ Maneno yanayotoka kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema,
bali mpumbavu huangamizwa
na midomo yake mwenyewe.
13πŸ‘‰ Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,
mwishoni ni wazimu mbaya,
14πŸ‘‰ naye mpumbavu huzidisha maneno.

Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,
ni nani awezaye kueleza ni jambo gani
litakalotokea baada yake?

15πŸ‘‰ Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,
hajui njia iendayo mjini.

16πŸ‘‰ Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa
na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

17πŸ‘‰ Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika,
na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:
wao hula ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

18πŸ‘‰ Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama;
kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

19πŸ‘‰ Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,
nao mvinyo hufurahisha maisha,
lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

20πŸ‘‰ Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,
au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,
kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,
naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.
Acha uongo, nzi akifa hana harufu
 
Back
Top Bottom