nimekutoa kwa list ya wenye uwezekano wa kupata heart attack......... ukubwa dawa ujue.....
Nimekumiss wewe handsome! So mnasuggest watu waache kuhangaikia na kutafuta ma-perfect kwa kuwa hawapo sio? hahahah so does it mean kuwa neno perfect liliwekwa kwa matumizi ya vitu vingine na sio wanadamu? Mwe! I am still looking for a perfect guy wajamane ambaye anakidhi tafadhali asinifanyie hinda mie mwana wa mwanaume mwenzenu eh
Hahaha...nipo soulmate wako Mbu ameamua kukuficha mazima, well nafikiri neno perfect litumike kwa jambo fulani au kwa matumizi fulani since hakuna aliye perfect ni vizuri labda tukitumia neno "Being Yourself"Nimekumiss wewe handsome! So mnasuggest watu waache kuhangaikia na kutafuta ma-perfect kwa kuwa hawapo sio? hahahah so does it mean kuwa neno perfect liliwekwa kwa matumizi ya vitu vingine na sio wanadamu? Mwe! I am still looking for a perfect guy wajamane ambaye anakidhi tafadhali asinifanyie hinda mie mwana wa mwanaume mwenzenu eh
ni yule afanyae haya.........
1)hata akipigiwa haulizi wala kulipiza!
2) hula miogo ili mpenzi wake ale chips kuku
3) hufanya chochote including kupumuliwa kisogoni ili mradi dem wake asipate shida!
Kweli aisee nipo mkuuTF . . . . . . . . . . !!
Long time sana mkuu!!
Nimekumiss wewe handsome! So mnasuggest watu waache kuhangaikia na kutafuta ma-perfect kwa kuwa hawapo sio? hahahah so does it mean kuwa neno perfect liliwekwa kwa matumizi ya vitu vingine na sio wanadamu? Mwe! I am still looking for a perfect guy wajamane ambaye anakidhi tafadhali asinifanyie hinda mie mwana wa mwanaume mwenzenu eh
Nimekumiss wewe handsome! So mnasuggest watu waache kuhangaikia na kutafuta ma-perfect kwa kuwa hawapo sio? hahahah so does it mean kuwa neno perfect liliwekwa kwa matumizi ya vitu vingine na sio wanadamu? Mwe! I am still looking for a perfect guy wajamane ambaye anakidhi tafadhali asinifanyie hinda mie mwana wa mwanaume mwenzenu eh
Hahaha...nipo soulmate wako Mbu ameamua kukuficha mazima, well nafikiri neno perfect litumike kwa jambo fulani au kwa matumizi fulani since hakuna aliye perfect ni vizuri labda tukitumia neno "Being Yourself"
Hahahaaha hakyanani hawa mabazaz wameniamulia mwaka huuu. Dah!hahahaha Vin Diesel bana....ulikuwa unamwakilisha Nicas Mtei sio?
Naam mkuu....vijana wake tupo tukimsaidia kazi.
Nalelomba geeke . . . . . . !!!!
Kweli aisee nipo mkuu