Huyo atakuwa boya zaidi ya maelezoni yule afanyae haya.........
1)hata akipigiwa haulizi wala kulipiza!
2) hula miogo ili mpenzi wake ale chips kuku
3) hufanya chochote including kupumuliwa kisogoni ili mradi dem wake asipate shida!
Niko shambani napalilia mahindi na kumalizia kuweka mbegu za mpunga maana mvua zimechachamaa sana
Ila nataka niwaambie neno moja tu kuwa,binadam tunahangaika kuwatafuta wakamilifu kwasababu hatujiamini na ni dhaifu sana
Ukiona unaanza kuweka vigezo vya ajabu ajabu kwenye kutafuta mwenza jua wewe una matatizo mengi sana
Mtu anaejitambua hana haja ya mtu mkamilifu kwani anaweza kuishi na yoyote
Ngoja niwape kauli yangu kuwa,kama MWANAUME asie cheat,kunywa na kutokuvuta basi mimi ni perfect sanaaaaa
Kaizer hebu mwambie Ennie apokee simu,mwambie kale ka jamaa kake ni perfect kama wewe . . . . . .lol
Ngoja nirudi shambani kwanza . . . . . . . .
hahAahahaha Mtambuzi una kesi ya kujibu. Ndio nini kumtoa roho dada wa watu?Hahahah Nicas Mtei, Mentor njoóni mumsome aliyekaribia kumtoa dada wa watu uhai kwa matumizi mabaya ya via vya uzazi.
Mie ni perfect mkuu....uliza vimada wangu
hahahaha Vin Diesel bana....ulikuwa unamwakilisha nica mtei sio?
Their is no perfect guy on the face of the earth if you expect perfect then you are just setting yourself up for disappointment
Their is no perfect guy on the face of the earth if you expect perfect then you are just setting yourself up for disappointment