moto2012
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 2,271
- 1,491
Wana jamiii na wajuzi wa lugha mnisaidie kujua kama hilo neno kinyemela ni kiswahili sanifu. Nimemsikia naibu waziri wa Elimu Bw. Philipo Mulugo akiwaasa wakuu wa vyuo vya ualimu wanaodahil wanfunzi wa vyuo vyao bila kufuata taratibu za wizara
Karibu tujadili
Karibu tujadili