Neno gani unaliogopa katika mahaba..

Neno gani unaliogopa katika mahaba..

Baby nikwambie kitu.....

Ukijiloga ukisema "nambie"

Ukija kushtuka ushaombwa hela
Hizi mimi hua nazipangua kwamba.....
Ebu ngoja kidogo hun, najiskia vibaya naenda hospital...
 
Babe naomba nikwambie kitu.....

Sina hisia na wewe......

Nakuchukulia kama kakaangu.....

Leo hujaniridhisha.......

Mimi sio wa type yako......

Ule mpango wa ndoa vipi.....

 
Baby nnashidah!
Baby Njoo Tupunzike (wakati huo kichwana nawaza vimeo vya kazini au mishe ya kupiga hela)
Baby siku hizi umebadilika/huko nyuma haukuwa hivyo(ili linaniuzi sana)
Baby uku wapi(Wakati huo ni muda wazi)
Baby we need to talk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom