Neno gani unaliogopa katika mahaba..

Neno gani unaliogopa katika mahaba..

Mm yote kwangu sawa bali kama nimekosa au yeye amekosea tunakaa tunaongea yanaisha sipend kukaa na kitu moyon najua wazi nitamuumiza sana
 
Nakupenda sana chochote unachokitaka kwenye mwili wangu ntakupa. Dah yaan demu akisema hivyo ananiogopesha sana mawazo yanahama kabisa
 
Etimwingine aliniambia et beby nivumilie mimi huwa naogopa kukuomba hela nikamwambia endelea ivoivo
 
"..tumalizie baaasii.. tuondoke."...wakati wee.. pulling ishakata.... ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom