Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,464
Buda maana yake nini?mimi hushangaa vile waBongo hutamka L karibu kama R
Watanzania au Wacomoro?Ewaaa! Lahaja ya Kitumbatu ni ya ajabu sana. Yaani unapotea kabisaaa. Mathalani:
Bamwanamke= baba mdogo, Ami
Bebeyu= Beberu
Bupuru= fuvu la kichwa
Buchari= kisu
Gubuya= sema ukweli
Ima= simama
Wana lahaja za ajabu hawa Wakitumbatu.
Kingine Kipepeo anayeruka ruka Wapemba wanamuita Kurukufu.
KupendezaKuna neno linaitwa "Kudamshi" sijui mpaka sasa lina maana gani, na naishi Dar hii hii.
Buda = Mshkaji/Baba
HahahNa wakazi wa kwenu huko Mombasa, kuna mmoja alikuwa anazungumza katikati ya mazungumzo akasema "Yule ni mnono sana" nikabaki hee! Huyu si anamzungumzia mwanaume mwenzake! Baadae kuelewa kumbe alikuwa ana maanisha ni mnene(bonge).
Sio makande in such ni makukuru
Amempatia ball ndio mimba sio?Buda = Mshkaji/Baba
Linatumika sana Kenya.
Kejani= Nyumbani
Mtoi=Mtoto
Huwa nikipita Ktalk nacheka sana maneno yao. Nakumbuka nyakati zile naishi huko
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hii kitu sini sheng ya Nai!Dingo/Pinji - kibaka
Sanya - iba
Peremba/Perembwa - kaba/kabwa
Keja - ghetto/nyumba
Toka teke - kimbia haraka
Buda - baba
Tao - mjini
Lolo - penis
Mathe - mama
Masai - shillingi mia
Githeri pia inaitwa odhero
Mob - nyingi/wengi
Oshago - kijijini
Dinya - gegeda
Baro - barabara
Lembe - mbele
Yapo mengi nikikumbuka ntaweka
YeahHii kitu sini sheng ya Nai!
Uongo, hilo ni neno la mtaani ambalo limepunguzwa makali ila limesimama nyuma ya lile tusi maarufu ".....make" ambalo mtu hulitamka kwa mshangao kama reaction ya unusual situationDah hili neno chimbuko lake hata sijui ila linamaanisha...alama ya mshangao tu kama vile "asalalee"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wa-Tanzania wapo Zanzibar.