smart mind69
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 205
- 304
Biashara ni matangazo
Wewe ni demu au shemaleMm mwenyewe sipendi mwanaume mwenye mitazamo ya kizee zee kama hii.
Umeona eeh! ?? Watu hupenda kumjaji mtu kwa mavazi. Wanasahau kuwa umalaya ni tabia iliyo ndani ya MTU mwenyewe. Umdhanie ndiye siye ktk ulimwengu wa cheating.Kuna mijitu mingine inajitanda na kuvaa migauni mirefu na inayopwaya kumbe ni mimalaya kuliko changudoa!!
MTU usiyemjua ni kama usiku wa giza. Right ungeliijua wala usingesema hivyo. Moyoni mwangu nimejaa mema, lkn napenda kujipa raha. Karaha naipa [HASHTAG]#kikono[/HASHTAG]Nivyema umemfukuza kwani umempunguzia matatzo
Nadhani wewe hufai hata kua spear
Wakolomije hovyo sana.wakolomije buana!!
hahaaaaaaa aiseeeeLeo hii ndo umegundua aliletwa na tcu baada ya kumaliza bumu lake
Amen mkuu. Asante kwa kongole mkuu.WEWE JAMAAA HUWA NAKUKUBALI SANA ,,POST ZAKO NIWACHACHE WANAKUELEWA .
UWE NIMWANAMME AU MWANAMKE AU MWANAMKEMME ,WEE JUA .POST ZAKO NAZIELEWA SANAAAA.
Hee! Jamani!
Ni hivi nilikuwa na bae wangu ambaye kuanzia leo namuita mshamba (mkolomije), tulipendana na kuahidi kuoana. Tulikuwa tunaenda vizuri tu.
Sasa jana nilibadilisha profile picture kwenye WhatsApp kwa raha zangu tu. Nilipiga picha nikiwa nimevaa blauze fulani hivi maarufu sana huku uswazi ( zinaitwa "usinimaindi") zinashika bega moja tu bega jingine hakuna mshikio. Na kwa wadada zinaliacha chuchu (ziwa) likiwa wazi.
Sasa mm nilipiga picha nikiwa nimevaa hiyo blauzi huku ziwa (nyonyo) langu moja la kushoto likwa upande ambao usinimaindi haijafunika. Kwahiyo likawa wazi. Basi picha hiyo nikaiweka kama DP kwenye WhatsApp.
Mkolomije huyu aliyeletwa mjini na TCU baada ya kumchagulia chuo akaanza kunigombeza. Nikamshangaa sana. Nimekosea nn? Yaani mm kuweka picha yenye kuonyesha jinsi nilivyotokelezea iwe ishu!!? Hiyo ndiyo fahari yangu, na ndiyo tambo zangu. Mwanamke shurti aringe ajionyeshe na atambe.
Ndiyo! Mwanamke sura, tabia atafundishwa na mumewe.
Basi niliamua kumblock na kum-blacklist kabisa.
Ameniharibia siku kabisa mshamba huyu. Nimemwambia sepa wajanja wasio stuka na mambo ya mjini watakuja.
Ni hayo tu.
Haswa hilo nalo nenoMmh. Mbona yuko sahihi Mkolomije wa watu sababu nyo**o ni mali yake na yeye ndio muhusika wa kuliona sasa kwa nini na wengine walione.
Kama ni kweli umemuonea Mkolomije wa watu sababu siku zote mtu chake bana labda kama we cha wote.
Mkuu akili yako na mtazamo wako vimefungwa na mazingira uliyokulia. Na tunaposema fulani mshamba hatumtusi, tunamuamsha na kumzindua toka kifungoni.Wife material hawawezi fanya hilo ulilofanya, mwanamke javi la wageni ni kawaida kuona uliyofanya