hana ishu huyo njaa tu na wivu kwanini kala mchechu mwenyeweHilo ndilo swali ninalomuuliza , anajifanya yeye muadilifu. Muadilifu wapi hajapewa tu nafasi ya ulaji huyo. Wabongo kwa mbwembwe hatujambo
Anatuletea nadharia za kitoto hapa. Hata ningekuwa mimi au wewe au nani angepiga tu deal ikiwa nafasi ingeruhusu na ndivyo tunavyowaona viongozi wote wenye nafasi wakifanyahana ishu huyo njaa tu na wivu kwanini kala mchechu mwenyewe
unadhani mchechu angempa bahasha katika huo upigaji angekuja kubwabwaja hapa
Uadilifu kwa wanaopewa dhamana ni SiFuRI. Pamoja na mshahara na marupurupu mazuri bado aliwaza kupiga tu. Nawaza kwa sauti akina Malinzy, kitiliya, avveva walikosa nn mpaka kupigga mipesa ile?Liache tu nalo lifuliwe. SI alimbomolea mbowe Billicanas?
TrueMaisha yatakuwa ya hali juu wakati ana wasiwasi wa kufikishwa mbele ya sheria muda wowote?Hakuna maisha ya taabu duniani kama kuishi kwa WASIWASI wa kutojua nini kinafuatia kutokana na UOVU,UBADHIRIFU, DHULUMA, WIZI uliofanya !! huyo uliye mtaja na yule mwingine MNDOLWA hawana amani !!!
Hizo ambazo hazina ukweli ndio mnazitaja..lakini yale mabilioni yaliyoliwa kwenye mavyama yetu mnayakaukia kama hamjasikia vile..kwanini tusingeanzia huku CAG alipogundua maufujaji ya mabilioni then ndio tukimbilie huko ambako hakuna hata ushahidi...Rais mwwnyewe aliwaambia kama aliweza kutumbua wakurugenzi wale wa halmashauri za kigoma zinazoongozwa na upinzani ACT hivi angewezaje kuacha hiyo 1.5 kama imeliwa kweli..na dhamira ya mtu unaiona kabisaa..so acheni kudanganya wananchi na propaganda zenu zimeshastukiwabado haikupi haki ya kumuona kuwa ni mkosaji kuliko wewe, soma tena nilichoandika. Mbona aliyewapiga 1.5T hamumsemi na kila siku yuko makanisani akitaka kuombewa
Walah pesa ni shetaniUadilifu kwa wanaopewa dhamana ni SiFuRI. Pamoja na mshahara na marupurupu mazuri bado aliwaza kupiga tu. Nawaza kwa sauti akina Malinzy, kitiliya, avveva walikosa nn mpaka kupigga mipesa ile?
afu sehemu kubwa ya hela ilikuwa inarudi kwenye mamlaka ya uteuzi na nyingine iliifadhili Lumumba ku rig election.Conflict of Interest, Ina maana ndefu kwa ufupi pale unapotumia Personal company na kupata tenda kwenye shirika unaloongoza mwenyewe, madhara yake
1.Miradi mingi bei walioverstate ili kampuni binafsi zipate pesa nyingi
2.personel company inanunua maeneo kwanza halafu unaliuzia shirika unaloendesha mwenyewe kwa bei kubwa
Tanzania ni moja ya nchi (inaweza kuwa hata ya kwanza) inayoongoza kwa wizi. Mfanyakazi yoyote anapoajiriwa jambo la kwanza anafikiri namna ya kuiba. Na hata mimi zamani nilikuwa nafikiri kuwa huwezi kuajiriwa na kupata maendeleo bila kuiba.Anatuletea nadharia za kitoto hapa. Hata ningekuwa mimi au wewe au nani angepiga tu deal ikiwa nafasi ingeruhusu na ndivyo tunavyowaona viongozi wote wenye nafasi wakifanya
Huyo mwalimu mwenyewe alikuwa na moyo wa kipekee sana - kukaa ikulu miaka ya kutosha na kuondoka bila kupiga ,lakini ukichunguza watendaji wake wengi wao hawakuafikiana nae kwa hilo
Pesa siyo shetani hata mara moja!Walah pesa ni shetani
Anaetetea wizi ni nani hapa? Nakupinga wewe unayemhukumu mchechu kwa wizi ilhali hata wewe ungepewa nafasi ile aliyokuwepo ungeiba tu kama unavyokubali hapa kuwa kabla hujaenda huko ughaibuni uliamini hivyoTanzania ni moja ya nchi (inaweza kuwa hata ya kwanza) inayoongoza kwa wizi. Mfanyakazi yoyote anapoajiriwa jambo la kwanza anafikiri namna ya kuiba. Na hata mimi zamani nilikuwa nafikiri kuwa huwezi kuajiriwa na kupata maendeleo bila kuiba.
Lakini baada ya kubarikiwa kutembelea nchi nyingine na kuona jinsi ilivyo aibu kwa mfanyakazi kuiba ndipo nilipogundua kuwa kumbe tunaamini jambo baya sana. Kuajiriwa bila kuiba inawezekena kabisa hasa kwa mtu aliyekuwa na mshahara na marupurupu mazuri kama huyo bwana.
Nashangaa wewe unatetea wizi unaoendekezwa na tamaa kali kama huu. Angalau angekuwa anapata mshahara mdogo ningeweza kuamini kuwa ni hali mbaya ya maisha ndiyo imemfanya aibe. Lakini kuiba ili kuishi maisha ya kifahari si jambo la kutetea.
Alikuwa mpigaji sana huyo... Tenda na makampuni hayo ya tenda kabla ya kusimamishwa akiwa NHC and ardhi deals + banks deals amepiga kiujanja janja sana sema JPM akamtumbua haraka sana sbb alijua kila kitu...!! Nategemea sheria itachukua mkondo wakeLete full story mkuu. Jamaa hasa tatizo ni nini??
Hata wazinzi na wasengenyaji huenda church na kutoa sadakaMzee wa Mbezi Beach, mtoa michango kanisani kwa pesa za utapeli.
Hivi inakuwaje unapiga madeal halafu jumapili unatoa sadaka na michango kanisani kujisafisha
Katika maisha bora uwe na Standard life inayokupa furaha au happiness kuliko hawa walitafuta Standard of living ili kusifiwa na kukidhi haja ya tamaa za roho
Sasa anaishi kwa mawazo sana hajui kesho itakuwaje, anaenda kanisani na Jumuiya kwa kuvizia hata watoto wanajua kitaa jamaa kumbe kaiba
Namuonea huruma sana sema ndio safari ya maisha
HakikaHata wazinzi na wasengenyaji huenda church na kutoa sadaka
Wananchi hawawezi nunua nyumba za NHC halafu unasema kumtukuza Mungu. Utakuwa unatania wewe!Chuki mbaya.. Napita tu mwanawani
Ila ungejua Mchechu.. Alikoitoa NHC... Ungemtukuza Mungu Kwa hilo..kwamba tunao watanzania wanaweza kuzisimamia Mali zetu Kwa ufanisi.. Hili la kuondolewa Mchechu NHC. ..lina mengi ndani ila time will tell
ameuweka JFSoma uzi wa zitto ameupandisha jana, Tatizo husomi unasubiri tukusimulie ameiba au amefanya nini? Soma
Hivi wewe ni binadamu ama roboti!?Anaetetea wizi ni nani hapa? Nakupinga wewe unayemhukumu mchechu kwa wizi ilhali hata wewe ungepewa nafasi ile aliyokuwepo ungeiba tu kama unavyokubali hapa kuwa kabla hujaenda huko ughaibuni uliamini hivyo
Mahakamani hupelekwi kama unavyopelekwa chooni shekhe. Kuna taratibu zake.Ndugu acha mawazo yakimaskini...
Kama ni tapeli mbona hajapelekwa mahakamani....kwaakili yako unadhani chuki zitakuondolea umaskini Fanya kazi