Nehemia Mchechu ni kiongozi mwenye maono

Huyu jamaa Ana akili sana anatazama mambo kwa ufanisi mkubwa kwa faida ya nchi ni mtu anaitazama nchi kwa mbele sana nafasi aliyopewa na Rais amepatia sana, ni msomi mwenye uzoefu mkubwa anajua nini kinatakiwa kufanywa kwenye mashirika ya umma, mbali tu na kutoa huduma lkn ya natakiwa kutoa faida na kujitegemea na kuongeza kasi ya maendeleo bila kutegemea hela kutoka serikali kuu, vision yake kubwa anataman haya mashirika ya umma ikiwezekana hata Mishahara Yao wasitegemee serikali kuu Bali kama taasisi zinaweza kujiendesha kwa faida na wakati huo huo wakitoa maendeleo, so far Ofisi ya msajili imepata mtu Genius.

Itoshe kusema ofisi ya TR imepata mtu Genius mtu makini na mwenye mtazamo chanya kwa maendeleo ya taifa. Ni mbunifu sana mbali na kua na uwezo mkubwa kiakili lkn anaonekana anapenda kujifunza kwa wengine na ana wivu wa kufanya vzr kwenye majukumu anayopewa.

Nimependa sana strategies za ofis ya hazina ktk kusimamia mashirika ya umma na ufatiliaji yakinifu, building capacity kwa secta Zilizopo na kutumia watu tofauti Hata Kama yupo taasisi ingine lkn anaonekana ni beneficial kwa taifa.

Naamini kwa kipind atakachokuepo kwa hii ofisi watu wengi wataijua majukumu yake kwan wengi Walikua Hawajui majukumu ya hii ofisi ya msajili wa hazina, Msechu ni mtu anayependa kushare anachokijua kwa wengine anapenda anachokifanya kwenye ofisi watu wakijue Alifanya hivyo alipokua shirika la Nyumba na anafanya hivyo akiwa ofisi ya msajili wa hazina hii inaonesha sio mchoyo wa kugawa knowledge, Anapenda ku transfer knowledge kwa watu wengine.

Bila Shaka ni mtu mwenye uwezo mzuri wa ku bran taasisi anazosimamia mfano leo hii ofisi ya msajili wa hazina Itakua inajulikana pamoja na majukumu yake. Amejitahd pia kuwahimiza ma CEO na Wenyeviti wa board ku brand taasisi zao kwa kuonesha na kusema wanayoyafanya.

Effectiveness, creative leadership, and strategies ni vitu muhimu sana kwake.

Hongera Nehemia Mchechu.
Apewe muda.
 
Huyu jamaa Ana akili sana anatazama mambo kwa ufanisi mkubwa kwa faida ya nchi ni mtu anaitazama nchi kwa mbele sana nafasi aliyopewa na Rais amepatia sana, ni msomi mwenye uzoefu mkubwa anajua nini kinatakiwa kufanywa kwenye mashirika ya umma, mbali tu na kutoa huduma lkn ya natakiwa kutoa faida na kujitegemea na kuongeza kasi ya maendeleo bila kutegemea hela kutoka serikali kuu, vision yake kubwa anataman haya mashirika ya umma ikiwezekana hata Mishahara Yao wasitegemee serikali kuu Bali kama taasisi zinaweza kujiendesha kwa faida na wakati huo huo wakitoa maendeleo, so far Ofisi ya msajili imepata mtu Genius.

Itoshe kusema ofisi ya TR imepata mtu Genius mtu makini na mwenye mtazamo chanya kwa maendeleo ya taifa. Ni mbunifu sana mbali na kua na uwezo mkubwa kiakili lkn anaonekana anapenda kujifunza kwa wengine na ana wivu wa kufanya vzr kwenye majukumu anayopewa.

Nimependa sana strategies za ofis ya hazina ktk kusimamia mashirika ya umma na ufatiliaji yakinifu, building capacity kwa secta Zilizopo na kutumia watu tofauti Hata Kama yupo taasisi ingine lkn anaonekana ni beneficial kwa taifa.

Naamini kwa kipind atakachokuepo kwa hii ofisi watu wengi wataijua majukumu yake kwan wengi Walikua Hawajui majukumu ya hii ofisi ya msajili wa hazina, Msechu ni mtu anayependa kushare anachokijua kwa wengine anapenda anachokifanya kwenye ofisi watu wakijue Alifanya hivyo alipokua shirika la Nyumba na anafanya hivyo akiwa ofisi ya msajili wa hazina hii inaonesha sio mchoyo wa kugawa knowledge, Anapenda ku transfer knowledge kwa watu wengine.

Bila Shaka ni mtu mwenye uwezo mzuri wa ku bran taasisi anazosimamia mfano leo hii ofisi ya msajili wa hazina Itakua inajulikana pamoja na majukumu yake. Amejitahd pia kuwahimiza ma CEO na Wenyeviti wa board ku brand taasisi zao kwa kuonesha na kusema wanayoyafanya.

Effectiveness, creative leadership, and strategies ni vitu muhimu sana kwake.

Hongera Nehemia Mchechu.
Chawa mpumbavu
 
Kwa jinsi ulivyo wasilisha Hoja yako Ni vigumu kwa mtu asimwelewa mchechu kumwelewa kwa kinaga ubaga... okay Ni Mtanzania wa Kwanza nilyemwona yuko, Ni smart pia mzalendo...
Niliwahi Huthuria mkutano flan hivi'...Serena hotel...alikuwa mmoja wa wageni waalikwa na alitoa speech nzuri ..
Kuwa ...ukiskia Toyota..unawaza nn...Japan.. Hyundai ...Korea...Benz....ujeruman...range Rover...uk....hivyo Anampango wa kuifanya national house Tz..kuwa na jina kubwa Sana kimataifa ...yaani mtu akitaja tu National house Basi watu wawaze...Tz...so cjui kafikia wapi na hiyo mipango yake...lakini Baada ya speech Ile gorofa za national house zilikuwa zinapanda Kama uyoga maeneo mengi ya Dar. .
......
 
Board ya NHC ndiyo ilitajwa kufanyia vikao vyake Dubai enzi za Mchechu au nimechanganya madesa?

Apewe mashirika yaliyoko ICU eg TTCL au NHIF tuone hayo maono.
 
Watanzania utawawaweza
Hawafatilii issues za nchi afu wanalalamika
Leo katoa hotuba nzuri sana Bw Mchechu
Naona anataka culture change kwenye Mashirika ya Umma
I predict atafanikiwa sana na ndio kitu Taifa linahitaji
Watu wanaodrive mabadiliko
Kwa hili Mamlaka za uteuzi ziko sahihi
Sasa aachwe hapo atulie ili impact ionekane mana tenguzi nazo zina madhara yake

Kweli kabisa mkuu watz wengi sio wafatiliaji
 
Mlinganyisho ni kulingana na uwezo wetu,nhc haikukopa sawa na USA bali kwa viwango vyetu.
Sawa na USA kwa uwezo wake
Sasa huwezi ku justify madeni ya NHC,kwa kuitumia USA eti inadaiwa sana!!ni ripoti ngapi za CAG zinaonyesha miradi mingi ni hasara tu!!!
 
Huyu jamaa Ana akili sana anatazama mambo kwa ufanisi mkubwa kwa faida ya nchi ni mtu anaitazama nchi kwa mbele sana nafasi aliyopewa na Rais amepatia sana, ni msomi mwenye uzoefu mkubwa anajua nini kinatakiwa kufanywa kwenye mashirika ya umma, mbali tu na kutoa huduma lkn ya natakiwa kutoa faida na kujitegemea na kuongeza kasi ya maendeleo bila kutegemea hela kutoka serikali kuu, vision yake kubwa anataman haya mashirika ya umma ikiwezekana hata Mishahara Yao wasitegemee serikali kuu Bali kama taasisi zinaweza kujiendesha kwa faida na wakati huo huo wakitoa maendeleo, so far Ofisi ya msajili imepata mtu Genius.

Itoshe kusema ofisi ya TR imepata mtu Genius mtu makini na mwenye mtazamo chanya kwa maendeleo ya taifa. Ni mbunifu sana mbali na kua na uwezo mkubwa kiakili lkn anaonekana anapenda kujifunza kwa wengine na ana wivu wa kufanya vzr kwenye majukumu anayopewa.

Nimependa sana strategies za ofis ya hazina ktk kusimamia mashirika ya umma na ufatiliaji yakinifu, building capacity kwa secta Zilizopo na kutumia watu tofauti Hata Kama yupo taasisi ingine lkn anaonekana ni beneficial kwa taifa.

Naamini kwa kipind atakachokuepo kwa hii ofisi watu wengi wataijua majukumu yake kwan wengi Walikua Hawajui majukumu ya hii ofisi ya msajili wa hazina, Msechu ni mtu anayependa kushare anachokijua kwa wengine anapenda anachokifanya kwenye ofisi watu wakijue Alifanya hivyo alipokua shirika la Nyumba na anafanya hivyo akiwa ofisi ya msajili wa hazina hii inaonesha sio mchoyo wa kugawa knowledge, Anapenda ku transfer knowledge kwa watu wengine.

Bila Shaka ni mtu mwenye uwezo mzuri wa ku bran taasisi anazosimamia mfano leo hii ofisi ya msajili wa hazina Itakua inajulikana pamoja na majukumu yake. Amejitahd pia kuwahimiza ma CEO na Wenyeviti wa board ku brand taasisi zao kwa kuonesha na kusema wanayoyafanya.

Effectiveness, creative leadership, and strategies ni vitu muhimu sana kwake.

Hongera Nehemia Mchechu.
Yuko vizuri sana. Mungu atulindie mtu huyu muhimu kwa Taifa hili.
 
Huyu jamaa Ana akili sana anatazama mambo kwa ufanisi mkubwa kwa faida ya nchi ni mtu anaitazama nchi kwa mbele sana nafasi aliyopewa na Rais amepatia sana, ni msomi mwenye uzoefu mkubwa anajua nini kinatakiwa kufanywa kwenye mashirika ya umma, mbali tu na kutoa huduma lkn ya natakiwa kutoa faida na kujitegemea na kuongeza kasi ya maendeleo bila kutegemea hela kutoka serikali kuu, vision yake kubwa anataman haya mashirika ya umma ikiwezekana hata Mishahara Yao wasitegemee serikali kuu Bali kama taasisi zinaweza kujiendesha kwa faida na wakati huo huo wakitoa maendeleo, so far Ofisi ya msajili imepata mtu Genius.

Itoshe kusema ofisi ya TR imepata mtu Genius mtu makini na mwenye mtazamo chanya kwa maendeleo ya taifa. Ni mbunifu sana mbali na kua na uwezo mkubwa kiakili lkn anaonekana anapenda kujifunza kwa wengine na ana wivu wa kufanya vzr kwenye majukumu anayopewa.

Nimependa sana strategies za ofis ya hazina ktk kusimamia mashirika ya umma na ufatiliaji yakinifu, building capacity kwa secta Zilizopo na kutumia watu tofauti Hata Kama yupo taasisi ingine lkn anaonekana ni beneficial kwa taifa.

Naamini kwa kipind atakachokuepo kwa hii ofisi watu wengi wataijua majukumu yake kwan wengi Walikua Hawajui majukumu ya hii ofisi ya msajili wa hazina, Msechu ni mtu anayependa kushare anachokijua kwa wengine anapenda anachokifanya kwenye ofisi watu wakijue Alifanya hivyo alipokua shirika la Nyumba na anafanya hivyo akiwa ofisi ya msajili wa hazina hii inaonesha sio mchoyo wa kugawa knowledge, Anapenda ku transfer knowledge kwa watu wengine.

Bila Shaka ni mtu mwenye uwezo mzuri wa ku bran taasisi anazosimamia mfano leo hii ofisi ya msajili wa hazina Itakua inajulikana pamoja na majukumu yake. Amejitahd pia kuwahimiza ma CEO na Wenyeviti wa board ku brand taasisi zao kwa kuonesha na kusema wanayoyafanya.

Effectiveness, creative leadership, and strategies ni vitu muhimu sana kwake.

Hongera Nehemia Mchechu.
naunga mkono hoja
p
 
Ufanisi kwenye mashirika utakujaje kwa kujaza hawa uvccm kama waongoza mashirika?
Mpaka akili ikitukaa sawa tukaachana na hilo lichama. Nchi itadunda
 
Nimesoma uzi mzima ila sijaona jambo au mambo gani hasa ambayo yamewahi kuboreka kutokana na utendaji wake.
Itoshe kusema huu uzi ni wa kichawa zaidi.
Kwani we ni mgeni na hawa vijana wa mbogamboga? Hawa wote vichwa vyao vyote ni hopeless kabisa
 
Kwa jinsi ulivyo wasilisha Hoja yako Ni vigumu kwa mtu asimwelewa mchechu kumwelewa kwa kinaga ubaga... okay Ni Mtanzania wa Kwanza nilyemwona yuko, Ni smart pia mzalendo...
Niliwahi Huthuria mkutano flan hivi'...Serena hotel...alikuwa mmoja wa wageni waalikwa na alitoa speech nzuri ..
Kuwa ...ukiskia Toyota..unawaza nn...Japan.. Hyundai ...Korea...Benz....ujeruman...range Rover...uk....hivyo Anampango wa kuifanya national house Tz..kuwa na jina kubwa Sana kimataifa ...yaani mtu akitaja tu National house Basi watu wawaze...Tz...so cjui kafikia wapi na hiyo mipango yake...lakini Baada ya speech Ile gorofa za national house zilikuwa zinapanda Kama uyoga maeneo mengi ya Dar. .
......

Kuelewa hoja yangu Itakua rahis kwa watu wanaofatilia na sio wafata mkumbo na kupinga kila kitu ,Nashukuru kwa kuunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom