Neema mpya Arusha! Wananchi kicheko

Neema mpya Arusha! Wananchi kicheko

Cornestone

Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
20
Reaction score
5
Mikopo ya 10% 👇🏽

Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.

Arusha OKTOBA Tunatiki
IMG-20250723-WA0035.jpg
 
Yaani watanzania mjini hadi mashambani wako wanalia wanalalamika alafu eti Arusha mna Furaha, kwani Arusha si Tanzania hii yenye kuharibiwa na timu msoga? Kwenye vita sherehe na harusi huwa vinasimama kwanza ama la na wewe unatakiwa kuwahi seat yako ahela
 
Mikopo ya 10% 👇🏽

Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.

Arusha OKTOBA Tunatiki
View attachment 3416346
Kunguni mpya.
Akili za kushikiwa.
 
Mikopo ya 10% 👇🏽

Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.

Arusha OKTOBA Tunatiki
View attachment 3416346
Mbona waliopata hawatoi shukrani
 
Yaani watanzania mjini hadi mashambani wako wanalia wanalalamika alafu eti Arusha mna Furaha, kwani Arusha si Tanzania hii yenye kuharibiwa na timu msoga? Kwenye vita sherehe na harusi huwa vinasimama kwanza ama la na wewe unatakiwa kuwahi seat yako ahela
Watanzania wangapi, wapi?
 
Back
Top Bottom