Cornestone
Member
- Jun 26, 2025
- 20
- 5
Rais Samia amewekeza TZS bilioni 117 na kupeleka umeme katika vijiji vyote 368 mkoani Arusha, na kuufanya kuwa mkoa wa kwanza kufikia asilimia 100 ya upatikanaji wa umeme vijijini. Kaya 137,100 zimeunganishwa kati ya 2020–2025.
Arusha OKTOBA Tunatiki ✅
Arusha OKTOBA Tunatiki ✅