Sawa kabisa, jamaa anadai haki zake, kama aliwa swindle wengine hilo ni swala lingine, ila yeye ana work permit, ana contract mpaka 2020, ana stahiki zake hajalipwa, kabebeshwa mkuku mkuku mpaka kwenye ndege ili iweje?! Kama alikuwa mwizi, dhulumati, mwizi basi GSM wangemfungulia kesi kwanza kuliko waliyoyafanya, haijalishi kama anatafutwa na interpol, kaiba dubai, jordan, sijuwi wapi, hajilishi hata kama kamtelekeza mke wake dubai, haituhusu, uzuri
RISHBAH RAJ kaweka documents zake hapa, kesi lazima ashinde, tena kama mie ningekuwa GSM ningemlipa hizo hizo $48,000 fasta kuliko kusubiri rungu la JIWE akijuwa hawa jamaa kumbe walikuwa wanakwepa kodi, itakuwa msala na watu kunyea debe kwa muda mrefu sana, na kama wako humu, waelewe tu hizi kesi za kukwepa kodi ni uhujumu uchumi, ni kesi ya jinai, hakuna dhamana, bosi na wachini yake wajiandae ku-share selo na kina Kitilya tu..