Need to launch complaint against GSM GROUP

Need to launch complaint against GSM GROUP

My brother you sound like a gentleman, Remember all this fellow Indian asking for is only his dues/rights, even if he has GCC ban or is Interpol wanted doesn't mean his rights denied. Jamaa wakimlipa definitely ataachana nao for good right?
Sawa kabisa, jamaa anadai haki zake, kama aliwa swindle wengine hilo ni swala lingine, ila yeye ana work permit, ana contract mpaka 2020, ana stahiki zake hajalipwa, kabebeshwa mkuku mkuku mpaka kwenye ndege ili iweje?! Kama alikuwa mwizi, dhulumati, mwizi basi GSM wangemfungulia kesi kwanza kuliko waliyoyafanya, haijalishi kama anatafutwa na interpol, kaiba dubai, jordan, sijuwi wapi, hajilishi hata kama kamtelekeza mke wake dubai, haituhusu, uzuri RISHBAH RAJ kaweka documents zake hapa, kesi lazima ashinde, tena kama mie ningekuwa GSM ningemlipa hizo hizo $48,000 fasta kuliko kusubiri rungu la JIWE akijuwa hawa jamaa kumbe walikuwa wanakwepa kodi, itakuwa msala na watu kunyea debe kwa muda mrefu sana, na kama wako humu, waelewe tu hizi kesi za kukwepa kodi ni uhujumu uchumi, ni kesi ya jinai, hakuna dhamana, bosi na wachini yake wajiandae ku-share selo na kina Kitilya tu..
 
Boss for last 20th October i am following with Mohammed Salah (CIO), HR Risper, just give my NOC and experience letter and my dues. I have lost new job not to able to submit documents. Keep begging each one of them but no one cares so finally if i need to loose this is not fair. i have not spoken anything except my case.

I worked as planning & operations manager and general manager.
It hurts first when you do better for business and business man treat you like this way. In my entire life i have never been in this way situation.
Now it is up to them.


LIAR LIAR LIAR - Give money money to friends and colleagues you owe and the bank in dubai.
 
let him respond if these are allegation false. if he is born to his father he will not deny. Ask how how much he owes to his colleagues and that bank in Dubai. He is a fugitive and a criminal. a warrant is out.

So why did you allow him be taken out ignoring proper procedures which could have ensured the rest of you guys are paid off his benefits?
 
I got to know of this indian man. he has no beans to spill. He is has done bad to lot of tanzanians. He got what he deserved.

couldn't our laws handle his ill actions to Tanzanians? why did you help him to escape?
 
Brilliant
Tunatakiwa tuangalie swala hili kwa mtazamo wa kibinadamu bila kujali kama huyu ni Mhindi au Mndengereko. Kama hawa jamaa wanaweza kumfanyia hivyo mhindi mwenzao, je Msukuma atanusurika? Je kwenye hili zoezi la deportation uhamiaji walihusika?

Mr Rishbah Raj, among the jamii forum family, we have Mr Manyerere Jackton, who is very talented in investigative journalism, by this post I humbly request him to look into this issue. I believe, if the Almighty is on your side you will get the much needed justice.
 
Unaona mbali sana brother, mimi nashangaa huyu jamaa anadai stahiki zake alafu watu wanakuja oh mara sijui anadaiwa na rafiki zake, sijui anatafutwa na Interpol na blah blah kibao....
GSM kuepusha kuanikwa mambo ya ndani wamlipe huyu ndugu ili yaishe.
Sawa kabisa, jamaa anadai haki zake, kama aliwa swindle wengine hilo ni swala lingine, ila yeye ana work permit, ana contract mpaka 2020, ana stahiki zake hajalipwa, kabebeshwa mkuku mkuku mpaka kwenye ndege ili iweje?! Kama alikuwa mwizi, dhulumati, mwizi basi GSM wangemfungulia kesi kwanza kuliko waliyoyafanya, haijalishi kama anatafutwa na interpol, kaiba dubai, jordan, sijuwi wapi, hajilishi hata kama kamtelekeza mke wake dubai, haituhusu, uzuri RISHBAH RAJ kaweka documents zake hapa, kesi lazima ashinde, tena kama mie ningekuwa GSM ningemlipa hizo hizo $48,000 fasta kuliko kusubiri rungu la JIWE akijuwa hawa jamaa kumbe walikuwa wanakwepa kodi, itakuwa msala na watu kunyea debe kwa muda mrefu sana, na kama wako humu, waelewe tu hizi kesi za kukwepa kodi ni uhujumu uchumi, ni kesi ya jinai, hakuna dhamana, bosi na wachini yake wajiandae ku-share selo na kina Kitilya tu..
 
Dear i was earning same in Dubai, so they gave me same. but no other benefit like social security. Such salaries are normal in middle east gulf ..People earn 10000 USD as salary it is normal.


Why were you kicked from swiss group?? when you were earning so good why did you land in africa, leaving your wife in dubai.

You were overpaid and you stole money big time from people and friends alike and got kickbacks and cuts- you ditched people. you were partner in many businesses while at work. if you have some shame and self respect, pay those poor colleauges whom you cheated. You have a long nose to take a legal route. Can you come to tanzania, why did you go? you went coz you did not have anything to contest or challenge.
 
Unaona mbali sana brother, mimi nashangaa huyu jamaa anadai stahiki zake alafu watu wanakuja oh mara sijui anadaiwa na rafiki zake, sijui anatafutwa na Interpol na blah blah kibao....
GSM kuepusha kuanikwa mambo ya ndani wamlipe huyu ndugu ili yaishe.
Kabisa, kwani $48K ni punje tu kwa GSM, heri ya hivyo jamaa apotelee mbali kuliko jamaa akiweka ya kukwepa kodi, maana GSM na wahusika wote ndio Segerea tena, hii ni kama wana akili timamu na hawana ubishi wa kitoto, wao wanahisi jamaa hana vithibiti vyovyote vile, lakini itakuwa risk sana wakicheza huo mchezo, ukiwa na common sense hapa GSM hakuna kesi...
 
We feel you man, horrible people...

Liar and a cheat can never claim sympathy. He felt insecure. if his employer was horrible and paiud him USD 4K plus plus... he worked for years. he was minting money and why all went sour??? there is more than that meets the eye.
 
Why were you kicked from swiss group?? when you were earning so good why did you land in africa, leaving your wife in dubai.

You were overpaid and you stole money big time from people and friends alike and got kickbacks and cuts- you ditched people. you were partner in many businesses while at work. if you have some shame and self respect, pay those poor colleauges whom you cheated. You have a long nose to take a legal route. Can you come to tanzania, why did you go? you went coz you did not have anything to contest or challenge.
Dear XYZ,, since you scare to open your identity, list down people whom i stole,, and pay my dues so if any one left i will pay for sure, i am open to talk and sort out if any issue still pending.
 
Liar and a cheat can never claim sympathy. He felt insecure. if his employer was horrible and paiud him USD 4K plus plus... he worked for years. he was minting money and why all went sour??? there is more than that meets the eye.
Dear Fahad if you are as per your writing skills, please stop or else even you have UK passport and doing business illegal right.
 
Dear XYZ,, since you scare to open your identity, list down people whom i stole,, and pay my dues so if any one left i will pay for sure, i am open to talk and sort out if any issue still pending.

staff at your work place and ABU DHABI BANK? can you deny?
 
He is trying to get some advice on how to handle his problem sir/madam! Dont you know the prons of sharing problems if you dont have a solution? Is it crime?
Let him answer for himself, girl! Who are you to chime in as if you're his housemaid? Only Rashbhai Whoever knows his true motives for attacking individuals' and a business' reputations that he knows are in no position to defend themselves. Massah's gone, now you mad 'cause you've no where to eat?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom