Salaam wakuu,
Mambo niaje? Aisee nilikua sijawahi kujaribu hii game ya NFS world ila leo nimeijaribu naona ni tamu sana. Ila mbona ukijaribu kuchat na mtu hareply? Anyways add me : DONCIZAR and let's race.
Salaam wakuu,
Mambo niaje? Aisee nilikua sijawahi kujaribu hii game ya NFS world ila leo nimeijaribu naona ni tamu sana. Ila mbona ukijaribu kuchat na mtu hareply? Anyways add me : DONCIZAR and let's race.
Frank G, Most Wanted ipi? maana hii ya 2012 pumba tupu. ya zamani ndo ilikuwa game. mi nakubaliana na Young Master kuhusu hii Rivals. tena siku hizi hamna racing games za maana. (labda Forza, lakini nyie hamna Xbox kama mimi :heh🙂
I am the Master of Need for Speed...mpaka sasa sijaona mtu anayeweza kunifunika kwenye racing ya aina yoyote ile iwe drift, drag, sprint etc. So ninaposema hii game ni mbaya....ni mbaya kweli.
I am the King if eNeed for Speed...mpaks sasa sijaona mtu anayeweza kunifunika kwenye racing ya aina yoyote ile iwe drift, drag, psrint etc. So ninaposema hii game ni mbaya....ni mbaya kweli.
I am the King if eNeed for Speed...mpaks sasa sijaona mtu anayeweza kunifunika kwenye racing ya aina yoyote ile iwe drift, drag, psrint etc. So ninaposema hii game ni mbaya....ni mbaya kweli.
I am the Master of Need for Speed...mpaka sasa sijaona mtu anayeweza kunifunika kwenye racing ya aina yoyote ile iwe drift, drag, sprint etc. So ninaposema hii game ni mbaya....ni mbaya kweli.