NECTA watoa viwango vipya vya ufaulu Kidato cha Nne

NECTA watoa viwango vipya vya ufaulu Kidato cha Nne

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
Necta wame badilisha viwango vya ufaulu kwa kidato cha nne na tano

GPA
CSEE 3.6-5.0
ACSEE 3.7-5.0

CSEE 2.6-3.5
ACSEE 3.0-3.6

CSEE 1.6-2.5
ACSEE 1.7-2.9

CSEE 0.3-1.5
ACSEE 0.7 -1.6

FAIL
CSEE 0.0-0.2
ACSEE 0.0-0.6
 
Duh!
Kumbe kila mwaka wanabadilisha tu ama ndiyo kutafuta BIG RESULTS NOW kwa haraka na wepesi kiasi hiki ?

Mkuu tusaidie chanzo cha Habari yako kwa nia njema sana maana jana umeme ulikatika pia nayo ni mafanikio kwa Nchi yetu
 
Nashangaa....Inawezekana jamaa amekurupuka toka usingizi na mawazo ya matokeo ya mechi za usiku. Sio mbaya ana machungu na Africa.
 
duh!
Kumbe kila mwaka wanabadilisha tu ama ndiyo kutafuta big results now kwa haraka na wepesi kiasi hiki ?

Mkuu tusaidie chanzo cha habari yako kwa nia njema sana maana jana umeme ulikatika pia nayo ni mafanikio kwa nchi yetu

gpa
csee 3.6-5.0
acsee 3.7-5.0

csee 2.6-3.5
acsee 3.0-3.6

csee 1.6-2.5
acsee 1.7-2.9

csee 0.3-1.5
acsee 0.7 -1.6

fail
csee 0.0-0.2
acsee 0.0-0.6
 
gpa
csee 3.6-5.0
acsee 3.7-5.0

csee 2.6-3.5
acsee 3.0-3.6

csee 1.6-2.5
acsee 1.7-2.9

csee 0.3-1.5
acsee 0.7 -1.6

fail
csee 0.0-0.2
acsee 0.0-0.6

Hawa ni kujifanya kama vile hatujaoona vile maana wanatafua hits mjini apa..
Kila mwaka wanabadilisha viwango vichwani ni mbuzi tu hawa... Sasa unatarajia tuendelee wakati hata mipango ya miaka2 mbele hatuwezi tunajaribu jaribu kila mwaka.....
##mbuzi
 
Hahahahahaaaa kiko wapi waliokuwa wanapinga kuwa hakuna division five??? GPA 3.6-5 (Div 1);GPA 2.6-3.5 (Div 2);GPA 1.6-2.5 (Div 3); GPA 0.3-1.5 (Div 4) na GPA 0.0-0.2 (Div 5). Je waliokuwa wakipinga alichokisema Katibu mkuu Prof Mchome kikowapi???.
 
Nashangaa....Inawezekana jamaa amekurupuka toka usingizi na mawazo ya matokeo ya mechi za usiku. Sio mbaya ana machungu na Africa.
jamaa anamaanisha ya kwamba bora tujadili mambo ya soka kuliko elimu ya Tanzania.
 
Hivi jamani hii nchi mbona ya ajabu sana na nadhani itaingia kwenye maajabu ya dunia soon
 
Back
Top Bottom