TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Hahahahaha sasa jamani Ivory Coast na NECTA wapi na wapi
bora tuzungumzie kombe la dunia kuliko huu upuuzi wa elimu ya bongo
Hahahahaha sasa jamani Ivory Coast na NECTA wapi na wapi
Hahahahahaaaa kiko wapi waliokuwa wanapinga kuwa hakuna division five??? GPA 3.6-5 (Div 1);GPA 2.6-3.5 (Div 2);GPA 1.6-2.5 (Div 3); GPA 0.3-1.5 (Div 4) na GPA 0.0-0.2 (Div 5). Je waliokuwa wakipinga alichokisema Katibu mkuu Prof Mchome kikowapi???.